Msemaji wa Serikali: Suala la mashabiki kukaguliwa ‘Passport’, Waziri Ndumbaro alikuwa anatania

Msemaji wa Serikali: Suala la mashabiki kukaguliwa ‘Passport’, Waziri Ndumbaro alikuwa anatania

Mtani wangu, this time around I beg to differ. Hana sababu ya kujiuzuru, alikuwa anasisitiza Uzalendo mpaka akapitiliza. Alikuwa hana nia mbaya. Ni sawa na wewe unaweza kuwa unakimbilia nyumbani Butiama, ukapitiliza huyo Butuguri mpaka Nyankanga huko. Utalaumiwa?
Ila tungeweza kufungiwa FIFA kwa hadi miaka mitatu, serikali ni facilitator tu, haipaswi kuondkana ikiingilia utendaji katika maambo ya mpira.
 
Ndumbalo hajawahi kuwa na akili na amezunguka mawizara chungu nzima hana tija

Msemaji wa serekali Acha kupaka rangi kinyesi. Kinyesi ni kinyesi tu.

Eti utani, we unaona kulikuwa na utani pale au wewe msemaji ndio unaleta utani sasa.

Sijui mh Rais huwa anawapata wapi baadhi ya mawaziri na sijui kwann huwa anawakumbatia hata wanavyoonesha failures sehemu mbali mbali!!!
Kwa hiyo wewe uliamini kabisa siku ya mechi kutakuwa na watu uwanjani wakikagua passport?
 
Kupitia Msemaji wa Serikali Mobhare Matinyi, Serikali imesema kauli ya Waziri Ndumaro ilikuwa ni utani.

Nawapongeza wana JF wote waliopiga spana mpaka Serikali imerusha taulo.
Screenshot_20240324_170723_Instagram.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tutafika tumechoka na viti tutakuta vimejaa , hata mikeka tutakosa mwisho kaabisaa tutaonyeshwa mchanga au majani ndiyo tukalie.
 
Ndumbalo hajawahi kuwa na akili na amezunguka mawizara chungu nzima hana tija

Msemaji wa serekali Acha kupaka rangi kinyesi. Kinyesi ni kinyesi tu.

Eti utani, we unaona kulikuwa na utani pale au wewe msemaji ndio unaleta utani sasa.

Sijui mh Rais huwa anawapata wapi baadhi ya mawaziri na sijui kwann huwa anawakumbatia hata wanavyoonesha failures sehemu mbali mbali!!!
Angalia kichwa chake kama tikiti, atapata wapi akili huyu?
Screenshot_20240323_110239_Instagram.jpg
 
Wale wachambuzi uchwara waliomuunga mkono tuwaweke kundi gani!!
Tbc waache kualika vitoto Toka mabanda ya mpira kuchambua mpira kwani hawana Hela yakuleta wataalamu walostaafu soka?? Au wanawalipaga aftatu?
 
Hivi hujui kuwa hao ti ara ei nao huwa wanatania tu?

Kwa nini ulie nao?

Ndumbaro katania, Matinyi naye katania, next bi Kizimkazi atatania kuwa anagombea urais 2025, na wabongo tutampa kura kiutani tu.

Sisi ndio wabongo hatujali kitu 😂😂
Nchi ya utani utani mambo yanaenda kiutani utani
 
Back
Top Bottom