FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ila tungeweza kufungiwa FIFA kwa hadi miaka mitatu, serikali ni facilitator tu, haipaswi kuondkana ikiingilia utendaji katika maambo ya mpira.Mtani wangu, this time around I beg to differ. Hana sababu ya kujiuzuru, alikuwa anasisitiza Uzalendo mpaka akapitiliza. Alikuwa hana nia mbaya. Ni sawa na wewe unaweza kuwa unakimbilia nyumbani Butiama, ukapitiliza huyo Butuguri mpaka Nyankanga huko. Utalaumiwa?
Maendeleo kwa kauli ipi boss. Ya ndumbaro, watu tunalia na TRA,Na wewe unatania?
Tutafika kwenye maendeleo tukiwa tumechoka sana
Hata mbowe kuhusisha bunge kujiongzea mishahara alikuwa anatania
Kwa hiyo wewe uliamini kabisa siku ya mechi kutakuwa na watu uwanjani wakikagua passport?Ndumbalo hajawahi kuwa na akili na amezunguka mawizara chungu nzima hana tija
Msemaji wa serekali Acha kupaka rangi kinyesi. Kinyesi ni kinyesi tu.
Eti utani, we unaona kulikuwa na utani pale au wewe msemaji ndio unaleta utani sasa.
Sijui mh Rais huwa anawapata wapi baadhi ya mawaziri na sijui kwann huwa anawakumbatia hata wanavyoonesha failures sehemu mbali mbali!!!
Hivi hujui kuwa hao ti ara ei nao huwa wanatania tu?watu tunalia na TRA
Sikuamini ila wewe unaamini unaweza lazima uzalendo kwa kuwatisha watu?Kwa hiyo wewe uliamini kabisa siku ya mechi kutakuwa na watu uwanjani wakikagua passport?
Kama mil 18 za wabungeKupitia Msemaji wa Serikali Mobhare Matinyi, Serikali imesema kauli ya Waziri Ndumaro ilikuwa ni utani.
Nawapongeza wana JF wote waliopiga spana mpaka Serikali imerusha taulo.View attachment 2943558
Angalia kichwa chake kama tikiti, atapata wapi akili huyu?Ndumbalo hajawahi kuwa na akili na amezunguka mawizara chungu nzima hana tija
Msemaji wa serekali Acha kupaka rangi kinyesi. Kinyesi ni kinyesi tu.
Eti utani, we unaona kulikuwa na utani pale au wewe msemaji ndio unaleta utani sasa.
Sijui mh Rais huwa anawapata wapi baadhi ya mawaziri na sijui kwann huwa anawakumbatia hata wanavyoonesha failures sehemu mbali mbali!!!
Waziri wa hovyo
kwenye kapu la mama Abdu😅🤣CCM huwa inatoa wapi haya mandazi?
Nchi ya utani utani mambo yanaenda kiutani utaniHivi hujui kuwa hao ti ara ei nao huwa wanatania tu?
Kwa nini ulie nao?
Ndumbaro katania, Matinyi naye katania, next bi Kizimkazi atatania kuwa anagombea urais 2025, na wabongo tutampa kura kiutani tu.
Sisi ndio wabongo hatujali kitu 😂😂
Na tunawachagua viongozi wahuni kiutani tuNchi ya utani utani mambo yanaenda kiutani utani
Nao wanatuongoza kiutani utani mwisho tutahamia burundi kiutani utani kama alivyo sema madelu kiutani utaniNa tunawachagua viongozi wahuni kiutani tu