Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtalipa tu hata kwa kuwatoza ada!Vyovyote vile, ila tambueni makosa makubwa mnafanya, ni kukopa fedha halafu mnazipeleka kwenye ujenzi wa madarasa na vyooo!!!
Huko zinaenda kuzalisha nini ili kuurudisha mkopo huo bila maumivu?
Almost four years ila vyoo ni mwezi tu tayari.
Kwani mkopo wa serikali mpaka uzalishe?Vyovyote vile, ila tambueni makosa makubwa mnafanya, ni kukopa fedha halafu mnazipeleka kwenye ujenzi wa madarasa na vyooo!!!
Huko zinaenda kuzalisha nini ili kuurudisha mkopo huo bila maumivu?
Kuzalisha wataalamu wa kada mbalimbali watakaotumika katika nyanja mbalimbali za uchumi kuongeza uzalishaji wa mali na hivyo kuiwezesha nchi kulipa madeni iliyokopa.Vyovyote vile, ila tambueni makosa makubwa mnafanya, ni kukopa fedha halafu mnazipeleka kwenye ujenzi wa madarasa na vyooo!!!
Huko zinaenda kuzalisha nini ili kuurudisha mkopo huo bila maumivu?
Wewe umewahi kuwaona wako rangi gani? Wanatembea wima kama sisi?Wachina ila fedha mtoa pesa ni serikaliView attachment 2066942
Ujenzi wowote wa mradi wa serikali huhesabiwa muda wa kuanza na kumalizika, huu si ujenzi wa kakibanda kako.Maswali gani ya kipimbi?
Unavyoongea utadhan limeanza tengenezwa baada ya kifo chakeJiwe angekuwepo anazurura huko maeneo mbali mbali leo hii hilo daraja lingekuwa lishakamilika.
Katika mtu wa hovyo na waziri asiye jua hesabu ni huyo waziri mkuuSGR Dar Moro ilikuwa ikamilike November 2019
Waziri mkuu akasema trial runs zitaanza. August 2021.
. Hii Ni January 2022 hata la kutuambia hamna.
Juzi kwenye ku-sign ujenzi kipande cha Makutupora - Tabora,Kadogosa katuahidi mbele ya rais April treni ya Dar moro inaanza. Ngoja tuoneSGR Dar Moro ilikuwa ikamilike November 2019
Waziri mkuu akasema trial runs zitaanza. August 2021.
. Hii Ni January 2022 hata la kutuambia hamna.
Hizi ndizo projects za kukopea fedha world bank. Sio kukopa world bank fedha za kujenga madarasa na matundu ya vyoo
Mbona alikuwepo na hakuwahi kukanyaga huko, alikuwa anawaogopa wajenzi jinsi walivyo.Jiwe angekuwepo anazurura huko maeneo mbali mbali leo hii hilo daraja lingekuwa lishakamilika.
Kaskazini ya wapi? Handeni au Mkinga?Watu wa kaskazini tumesahaulika kabisa awamu hii ya sita .