Msemaji wa Serikali: Ujenzi daraja la Wami wafikia 70.4%. Kukamilika Novemba 2022

Msemaji wa Serikali: Ujenzi daraja la Wami wafikia 70.4%. Kukamilika Novemba 2022

Duh! Novemba tena...hakuna fedha au itasingiziwa koona!
 
Unafikiri ni kalavati hilo lijengwe miezi miwili

Kwahyo ni mji wa Rome huo,,kwamba ujengwe miaka yote hio,,

We nae hovyo sana,,, Sisiemu wenzako walisema litamalizika mapema sana...
 
Ongezea hii
Reli kilometre 200 Dar to Moro inachukua zaidi ya miaka mitano kwa technology ya 2020 wakati mjerumani alijenga 1400km Dar Kigoma kwa technology ya 1900 kwa miaka hiyo hiyo. kulikua hakuna ramani, satellite Wala makatapila.
60 years after indepence km 200 inatuchukua miaka mitano na ushee.
Yaani tunajenga kilomita chini ya km40 kwa mwaka. Isitoshe tunafuatilia reli ya zamani

Kuna falla mmoja RRONDO wa Lumumba anaona ni sawa Daraja kujengwa kwa miaka sita... eti karavati ndio linatakiwa kujengwa mwaka..

Na bado tunasema vijana ni taifa la kesho,,, wakati vijana ndio hao wa hovyo wamekaa kusifia kila kitu..
 
Kuna falla mmoja RRONDO wa Lumumba anaona ni sawa Daraja kujengwa kwa miaka sita... eti karavati ndio linatakiwa kujengwa mwaka..

Na bado tunasema vijana ni taifa la kesho,,, wakati vijana ndio hao wa hovyo wamekaa kusifia kila kitu..
Basi hapo unajiona bonge la mjanja.
 
Kuna falla mmoja RRONDO wa Lumumba anaona ni sawa Daraja kujengwa kwa miaka sita... eti karavati ndio linatakiwa kujengwa mwaka..

Na bado tunasema vijana ni taifa la kesho,,, wakati vijana ndio hao wa hovyo wamekaa kusifia kila kitu..
Nas Jr kuna umuhimu gani wa kumuita falla.?
Ungesema Kuna mshkaji au beshte yangu kasema desh desh desh ungepungukiwa na Nini?
 
@Nas Jr kuna umuhimu gani wa kumuita falla.?
Ungesema Kuna mshkaji au beshte yangu kasema desh desh desh ungepungukiwa na Nini?

Mkuu RRONDO ameongea kitu cha kijinga sana..

Falla kwa kiswahili ni mjinga,,,Na anayeongea kitu cha kijinga ni mjinga pia.
fala.JPG
 
Back
Top Bottom