Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Taarifa hizi zimfikie Mbunge wa kule anayetaka audit ya mikopo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea hiiUjenzi ulioanza 2017,, unatarajiwa kukamilika 2022 November.....almost 6 years tunajenga daraja la 510 Meter.
Hii nchi imekuwa ya hovyo sana.
Ongezea hiiUjenzi ulioanza 2017,, unatarajiwa kukamilika 2022 November.....almost 6 years tunajenga daraja la 510 Meter.
Hii nchi imekuwa ya hovyo sana.
Vyovyote vile, ila tambueni makosa makubwa mnafanya, ni kukopa fedha halafu mnazipeleka kwenye ujenzi wa madarasa na vyooo!!!
Huko zinaenda kuzalisha nini ili kuurudisha mkopo huo bila maumivu?
Umshukuru MagufuliKwahiyo Inshallah, Christmas ijayo tunapita daraja jipya.
Naishukuru Kodi yangu na Rais Samia S HUmshukuru Magufuli
Kodi ikasimamiwa vizuri na Magufuli. Kisha Samia anamaliziaNaishukuru Kodi yangu na Rais Samia S H
Bado unamuamini mzee wa balaghashia?SGR Dar Moro ilikuwa ikamilike November 2019
Waziri mkuu akasema trial runs zitaanza. August 2021.
. Hii Ni January 2022 hata la kutuambia hamna.
Ina maana Tz hatuna wakandarasi wenye uwezo wa kujenga hili daraja mpaka wajenge wachina?
Inaonyesha mambo ya ujenzi huyajui wewe... eti magufuli angekuwepo daah!Kama billion 67 zinajenga daraja la wami na barabara zake ilikuwaje yule mwezi wa kwanza akatumia 69B kukodi system tu?[emoji28]
Inawezekana kazi iliyobakia 30% ndiyo ngumu zaidi au inahitaji materils toka nje ambayo yatachukua muda kutengenezwa na kusafirishwa. There are always reasonsHadi November 2022(almost mwaka mzima) kwa hizo asilimia 30 zilizobaki? kwani lilianza kujengwa lini? duh
Unafikiri ni kalavati hilo lijengwe miezi miwiliUjenzi ulioanza 2017,, unatarajiwa kukamilika 2022 November.....almost 6 years tunajenga daraja la 510 Meter.
Hii nchi imekuwa ya hovyo sana.
Shh, ngoja tumalize ya daraja kwanza ili uchumi uimarike, hilo jingine siyo kipaunyuma cha watanzania.Kama billion 67 zinajenga daraja la wami na barabara zake ilikuwaje yule mwezi wa kwanza akatumia 69B kukodi system tu?😅
Wajenzi hawatoki sayari hii, ukiwaona wanaogofya, angalia picha za ujenzi hawaonekani.Huo ni mradi ambao umesuswaa... Hata sijui kwanini. Ulianza 2017....mwisho ilikuwa 2018.. Sijui shida ni nini. Watu hawapo site .
Linatisha sana, linaurefu wa mita 100! Hivi.Ila liko juu sana
Unajua umeaza lini huo ujezi?umeaza 2017 miaka miwili tu jpm alipoingia madarakaniJiwe angekuwepo anazurura huko maeneo mbali mbali leo hii hilo daraja lingekuwa lishakamilika.