pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Kwa haya matusi yako nakupa grade ya E, ungepata grade ya juu zaidi ila hujaweza kutumia 'imagination' yako vizuri. Afu umetumia emoji tano tu, very poor. Work harder. Kwa mfano, wewe joto la jiwe ni nungunungu ambaye ana jicho moja tu la kengeza afu ulizaliwa juu ya jiwe bila map®mb® na una fuzi za rangi ya zambarau kwenye makalio. 😀🙂😀🙂😀🙂😀🙂😀🙂😀🙂😀🙂😀 Umenielewa?Ngoja nijaribu nione, wewe pingli-nywee ni mjinga, pumbavu na shoga, unaliwa nyuma[emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Yaani leo umechemka sana dunia nzima hadi umoja wa mataifa Unhcr wamesikitishwa halafu unaona kama hakutukana! AiseeHehehehe.... Mitanzania bana, wafuata mikumbo na kujaribu kuonekana hata nyie mpo, watu kama nyie ndio mnasababisha bora tuitwe shithole kabisa.
Hadi sasa hamna audio recording au ushahidi wowote kwamba Trump alitukana Afrika rasmi, yote ni dezo dezo za backstage rumors. Ikulu ya Marekani imetoa tamko na haijakiri chochote, sasa Miafrika tukianza kujifanya eti tumekerwa sana, mbona tusifanye kweli na kuwafukuza Wamarekani kutoka nchi zetu na kufunga balozi zao.......pambavu tu hamna lolote.
Japo pia kiana nahisi tunafaa kuitwa zaidi ya shithole hususan tunaotafuna binadamu kisa ni albino eti watatuongezea utajiri na kushinda kwenye uchaguzi.
Toa ushahidi kwamba,TZ wanakula albino,acha tabia za kikeHehehehe.... Mitanzania bana, wafuata mikumbo na kujaribu kuonekana hata nyie mpo, watu kama nyie ndio mnasababisha bora tuitwe shithole kabisa.
Hadi sasa hamna audio recording au ushahidi wowote kwamba Trump alitukana Afrika rasmi, yote ni dezo dezo za backstage rumors. Ikulu ya Marekani imetoa tamko na haijakiri chochote, sasa Miafrika tukianza kujifanya eti tumekerwa sana, mbona tusifanye kweli na kuwafukuza Wamarekani kutoka nchi zetu na kufunga balozi zao.......pambavu tu hamna lolote.
Japo pia kiana nahisi tunafaa kuitwa zaidi ya shithole hususan tunaotafuna binadamu kisa ni albino eti watatuongezea utajiri na kushinda kwenye uchaguzi.
View attachment 679521
Government Spokesman Eric Kiraithe has said Kenya has no problem with an obscene word used by US President Donald Trump to describe African countries and Haiti.
Mr Kiraithe on Thursday told journalists that the statement by President Trump were not directed to Kenya.
“The statement was not an official matter that, say, is related to the relationship with the government. We enjoy a cordial relationship.
“We are studying the context in which these statements were made and see whether it is worth the attention,” he said.
MORE:Kenya reacts to Trump ‘racist’ remarks
lakini wamethubutu
Nchi ambayo sio kibaraka wamewazidi nini wakenya?Kenya ni Vibaraka wa wazungu, hii imepelekea kuwa watumwa wa fikra, poor Kenya
BAVICHA bana.Nchi ambayo sio kibaraka wamewazidi nini wakenya?
Wapo huru, wanaweza kuamua kufanya walipendalo, bora kuwa masikini huru kuliko tajiri mtumwa.Nchi zilipigania uhuru ili ziweze kujiamulia mambo yao.Nchi ambayo sio kibaraka wamewazidi nini wakenya?
Kenya huwa wako SMART sana!
angesema no comments.
siyo kusema hamna shida.
Mbona umesahau kuitaja hometown Darislamu kwa wajanja?kama exposure yako imeishia Nairobi, lazima utasema wako smart. lkn ukienda na nchi zingine unaweza kuwa na maoni tofauti.
Please fika Gaborone na Windhoek ndo utajua kumbe some countries in the continent are clever than the cleverer.
Obviously amesema Kenya haina shida kwa sababu hilo tamko sio official, muwe mnasoma na kujaribu kuijiongeza bila kutegemea matapishi ya kutafsiriwa.
Kwa kifupi, hatuwezi kukurupuka maana
- Hamna ushahidi wowote
- Sio tamko rasmi au sera ya Marekani
Mkapa aliwaita nyie malofa tena hadharani mukaishia kumchekea na kukenua mimeno, leo hii munaskia fununu ambazo hazijathibitishwa kwamba Trump kasema baadhi nchi ni shithole, mnatokwa mipovu kwenye mitandao lakini hamkawii kupokea misaada yake, useless.
Ushahidi toa wewe mwenyewe ambaye mkononi umeshikilia kichokonoa meno. 😀Toa ushahidi kwamba,TZ wanakula albino,acha tabia za kike
Mbona umesahau kuitaja hometown Darislamu kwa wajanja?
Hujafunga ofisi hadi sasa hivi jombaa? Kweli wewe mtumwa kwenye shithole country. Wengine wetu tulianza kula bata mida ya saa nane. Inaitwa Naairobee!duu kweli jamaa angu, muda siyo mrefu tutafunga maofisi halafu twende kula bata aaam aaam aaaam.
Kwa hiyo kwa akili yako dunia nzima ilikuwa iki react kwenye fununu, vyombo vya habari nk, vyote vilikuwa vinaongelea kitu ambacho hakipo???
Nimekuchapa kule headquarters mpaka umekimbilia huku chooni kutuliza maumivu?Tanzania ndiyo sh##h*le