Msemaji wa Simba Haji Manara acha Uongo, Uzushi na Kupotosha kwa Kumpelekea 'Lawama' Mwamuzi wa Jana Sumbawanga

Msemaji wa Simba Haji Manara acha Uongo, Uzushi na Kupotosha kwa Kumpelekea 'Lawama' Mwamuzi wa Jana Sumbawanga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mimi GENTAMYCINE ambaye ni mwana Simba SC Mwenzako tena 'Kindakindaki' kabisa naweka hapa sababu ya 'Kipondo' chetu cha Jana

1. Wachezaji wa Simba SC wameshabweteka na wanajiona ni FC Barcelona ya Tanzania wakati hata hawajafikia 15% yao tu
2. Kocha wa Makipa wa Simba SC Mwarami Mohamed ni tatizo kwani hamsaidii Kipa Manula kurekebisha Mapungufu yake
3. Simba SC haina Stamina na Wachezaji pamoja na Benchi la Ufundi hawakujiandaa mapema kucheza Kikakamavu na Prisons FC
4. Kupangwa kwa Beki Kiraka Erasto Nyoni ambaye sasa amekwisha na Jana alipwaya sana kumechochea Kipondo kile cha Kijeda
5. Kocha wa Simba SC ama ni Mbishi Timu ikicheza Mechi za nje ya Dar es Salaam au Benchi la Ufundi halimpi Ushirikiano Kamili
6. Kutowachezesha Wachezaji au kufanya 'Rotation' ili Kulinda Vipaji vyao na kuwaweka tayari ni sababu Timu Kusuasua Kimchezo
7. Tuache Kuwekeza sana katika Kamati za Ufundi za Jadi ( Ushirikina ) bali tuwekeze Timu yetu ya Simba SC 'Kisayansi' zaidi

Nimesikitika mno tu kuona Mitandaoni Msemaji wa Simba SC yetu Haji Manara 'akimlaumu' Mwamuzi ( Referee ) wa Jana wakati alitubeba Kidakika.
 
😂😂😂😂 sema refa alizengua zile zilikuwa clear penati ....

Mda kupitiliza ikumbukwe wachezaji wazee wa kwata plus gwaride walikuwa wanapoteza mda
Hakuna 'Penati' yoyote ile Jana Simba SC 'tulistahili' kupewa au kupata. Acheni 'Unafiki' tukubali tu kuwa Jana Prisons FC walituweza na kutumudu.
 
Japo nakupondaga kwenye baadhi ya nyuzi zako mkuu ILA nafahamu fika wewe SIO MNAFIKI kwenye mambo ya kweli(dhahiri) hupendi kupindisha kitu hali ya kuwa ukweli unaujua.

Waambie hao mashabiki maandazi waelewe sio blaming kibao kwa MTU asiyehusika.
 
Nimecheza Mpira tena wa 'Kiwango' kizuri tu japo cha Shuleni, Vyuoni na Ligi za awali hivyo nikisemacho hapa 'Kiufundi' nina 'uhakika' nacho sana.
😂😂😂😂😂
 
Akili ya Haji Manara ni ya visingizio, Hali ya visingizio inawafanya mbumbumbu fc wasiamini katika kufungwa.ila kunasiku mashabiki wa mbumbumbu fc wata mkataa na kumtolea uvivu.
 
Pamoja na simba kucheza vibaya mwamuzi alichangia kuharibu mchezo labda nikukumbushe huyu mwamuzi ndio aliyewanyonga kagera dhidi ya yanga pia kaangalie kipenga cha mwishobyoutube matukio tata yamechambuliwa ikiwemo simba kunyimwa penati na rafu za prison kutotolewa kari mamvo ya ushirikina yalishapitwa na wakati
 
Pamoja na simba kucheza vibaya mwamuzi alichangia kuharibu mchezo labda nikukumbushe huyu mwamuzi ndio aliyewanyonga kagera dhidi ya yanga pia kaangalie kipenga cha mwishobyoutube matukio tata yamechambuliwa ikiwemo simba kunyimwa penati na rafu za prison kutotolewa kari mamvo ya ushirikina yalishapitwa na wakati
Je simba ingeshinda haya ya refa kulalamikiwa yangekuwepo?
Timu ikipigwa tukubali tu maana hizi sababu hazijawahi saidia chochote.
 
Na iwapo timu zitacheza mchezo wa nguvu na rafu namna hii bila kadi yoyote kutolewa,itasababisha kiwango cha mpira kushuka kwani timu zitakuwa zinasajili watabe tu ili zishinde,na mkienda kimataifa na approach hii,mnapigwa kadi na kushindwa kirahisi
Auweke pembeni wapi? Hapo ANAJIPENDEKEZA UTOPOLONI tu. Kulikuwa na penati, na kadi za kutosha. Huo mchezo hakuuangalia peke yake! Wale jamaa ule mchezo waliufanya kama vita!
 
Mimi GENTAMYCINE ambaye ni mwana Simba SC Mwenzako tena 'Kindakindaki' kabisa naweza hapa sababu ya 'Kipondo' chetu cha Jana

1. Wachezaji wa Simba SC wameshabweteka na wanajiona ni FC Barcelona ya Tanzania wakati hata hawajafikia 15% yao tu
2. Kocha wa Makipa wa Simba SC Mwarami Mohamed ni tatizo kwani hamsaidii Kipa Manula kurekebisha Mapungufu yake..
What I prefer from you GENTAMYCINE kua wewe sio mnafiki,Ila sometimes mihemko ya kishabiki tu ndo inakulewesha.
 
Mimi GENTAMYCINE ambaye ni mwana Simba SC Mwenzako tena 'Kindakindaki' kabisa naweza hapa sababu ya 'Kipondo' chetu cha Jana

1. Wachezaji wa Simba SC wameshabweteka na wanajiona ni FC Barcelona ya Tanzania wakati hata hawajafikia 15% yao tu
2. Kocha wa Makipa wa Simba SC Mwarami Mohamed ni tatizo kwani hamsaidii Kipa Manula kurekebisha Mapungufu yake...
Neno upungufu halina wingi,hivyo ni makosa kusema mapungufu,ni upungufu liwe moja na ni upungufu yakiwa mengi
 
Je simba ingeshinda haya ya refa kulalamikiwa yangekuwepo?
Timu ikipigwa tukubali tu maana hizi sababu hazijawahi saidia chochote.
Matokeo ya ile mechi hayawezi kubadirika lakini yule refa ama amepewa rushwa au kiwango duni ungefatilia uchambuzi wa kipenga cha mwisho youtube ungeona madhaifu yake kwani clip inaonywesha na kuchambuliwa
 
Mimi GENTAMYCINE ambaye ni mwana Simba SC Mwenzako tena 'Kindakindaki' kabisa naweza hapa sababu ya 'Kipondo' chetu cha Jana

1. Wachezaji wa Simba SC wameshabweteka na wanajiona ni FC Barcelona ya Tanzania wakati hata hawajafikia 15% yao tu
2. Kocha wa Makipa wa Simba SC Mwarami Mohamed ni tatizo kwani hamsaidii Kipa Manula kurekebisha Mapungufu yake
3. Simba SC haina Stamina na Wachezaji pamoja na Benchi la Ufundi hawakujiandaa mapema kucheza Kikakamavu na Prisons FC
4. Kupangwa kwa Beki Kiraka Erasto Nyoni ambaye sasa amekwisha na Jana alipwaya sana kumechochea Kipondo kile cha Kijeda
5. Kocha wa Simba SC ama ni Mbishi Timu ikicheza Mechi za nje ya Dar es Salaam au Benchi la Ufundi halimpi Ushirikiano Kamili
6. Kutowachezesha Wachezaji au kufanya 'Rotation' ili Kulinda Vipaji vyao na kuwaweka tayari ni sababu Timu Kusuasua Kimchezo
7. Tuache Kuwekeza sana katika Kamati za Ufundi za Jadi ( Ushirikina ) bali tuwekeze Timu yetu ya Simba SC 'Kisayansi' zaidi

Nimesikitika mno tu kuona Mitandaoni Msemaji wa Simba SC yetu Haji Manara 'akimlaumu' Mwamuzi ( Referee ) wa Jana wakati alitubeba Kidakika.
Mkuu hiyo namba 7 unanifurahishaga sana.
 
Pamoja na simba kucheza vibaya mwamuzi alichangia kuharibu mchezo labda nikukumbushe huyu mwamuzi ndio aliyewanyonga kagera dhidi ya yanga pia kaangalie kipenga cha mwishobyoutube matukio tata yamechambuliwa ikiwemo simba kunyimwa penati na rafu za prison kutotolewa kari mamvo ya ushirikina yalishapitwa na wakati
Sihitaji 'Kufanana' na 'Wachambuzi' wenu 'Uchwara' ila ninachojua Simba SC tulistahili 'Kichapo' kile kwakuwa Timu ilicheza 'Vibaya' kuliko maelezo.
 
Back
Top Bottom