Msemaji wa Simba Haji Manara acha Uongo, Uzushi na Kupotosha kwa Kumpelekea 'Lawama' Mwamuzi wa Jana Sumbawanga

Msemaji wa Simba Haji Manara acha Uongo, Uzushi na Kupotosha kwa Kumpelekea 'Lawama' Mwamuzi wa Jana Sumbawanga

Tatizi simba wamezoea kubebwa Morrison kwisha habari babu Onyango alikuwa alishindwa kuhimili mikimiki ya vijana wa Prison hivi Sawa hao Mikia hawana kipa mwingine
 
Mimi GENTAMYCINE ambaye ni mwana Simba SC Mwenzako tena 'Kindakindaki' kabisa naweza hapa sababu ya 'Kipondo' chetu cha Jana

1. Wachezaji wa Simba SC wameshabweteka na wanajiona ni FC Barcelona ya Tanzania wakati hata hawajafikia 15% yao tu
2. Kocha wa Makipa wa Simba SC Mwarami Mohamed ni tatizo kwani hamsaidii Kipa Manula kurekebisha Mapungufu yake
3. Simba SC haina Stamina na Wachezaji pamoja na Benchi la Ufundi hawakujiandaa mapema kucheza Kikakamavu na Prisons FC
4. Kupangwa kwa Beki Kiraka Erasto Nyoni ambaye sasa amekwisha na Jana alipwaya sana kumechochea Kipondo kile cha Kijeda
5. Kocha wa Simba SC ama ni Mbishi Timu ikicheza Mechi za nje ya Dar es Salaam au Benchi la Ufundi halimpi Ushirikiano Kamili
6. Kutowachezesha Wachezaji au kufanya 'Rotation' ili Kulinda Vipaji vyao na kuwaweka tayari ni sababu Timu Kusuasua Kimchezo
7. Tuache Kuwekeza sana katika Kamati za Ufundi za Jadi ( Ushirikina ) bali tuwekeze Timu yetu ya Simba SC 'Kisayansi' zaidi

Nimesikitika mno tu kuona Mitandaoni Msemaji wa Simba SC yetu Haji Manara 'akimlaumu' Mwamuzi ( Referee ) wa Jana wakati alitubeba Kidakika.
Ukweli utakuweka huru.
 
Mimi GENTAMYCINE ambaye ni mwana Simba SC Mwenzako tena 'Kindakindaki' kabisa naweka hapa sababu ya 'Kipondo' chetu cha Jana

1. Wachezaji wa Simba SC wameshabweteka na wanajiona ni FC Barcelona ya Tanzania wakati hata hawajafikia 15% yao tu
2. Kocha wa Makipa wa Simba SC Mwarami Mohamed ni tatizo kwani hamsaidii Kipa Manula kurekebisha Mapungufu yake
3. Simba SC haina Stamina na Wachezaji pamoja na Benchi la Ufundi hawakujiandaa mapema kucheza Kikakamavu na Prisons FC
4. Kupangwa kwa Beki Kiraka Erasto Nyoni ambaye sasa amekwisha na Jana alipwaya sana kumechochea Kipondo kile cha Kijeda
5. Kocha wa Simba SC ama ni Mbishi Timu ikicheza Mechi za nje ya Dar es Salaam au Benchi la Ufundi halimpi Ushirikiano Kamili
6. Kutowachezesha Wachezaji au kufanya 'Rotation' ili Kulinda Vipaji vyao na kuwaweka tayari ni sababu Timu Kusuasua Kimchezo
7. Tuache Kuwekeza sana katika Kamati za Ufundi za Jadi ( Ushirikina ) bali tuwekeze Timu yetu ya Simba SC 'Kisayansi' zaidi

Nimesikitika mno tu kuona Mitandaoni Msemaji wa Simba SC yetu Haji Manara 'akimlaumu' Mwamuzi ( Referee ) wa Jana wakati alitubeba Kidakika.
umesikia kama muamuzi wa mechi ya simba na prison amefunguwa miezi 12? au ameonewa? kwenye ukweli tuongee ukweli huyu jamaa aliharibu sana
 
umesikia kama muamuzi wa mechi ya simba na prison amefunguwa miezi 12? au ameonewa? kwenye ukweli tuongee ukweli huyu jamaa aliharibu sana
Kuna wengine wanapost ili mradi kujaza server yule mwamuzi hana uwezo wa kuchezesha
 
Imebidi nirudie kusoma tena uzi huu,nimehisi harufu ya mbaga hapa
 
Ebu tuseme ukweli. Hakuna mpenzi wa Simba anayemchukia Manara! Kwa sababu ipi kwa mfano? Wanaomchukia saana ni wale wanaomwonea wivu kwa kuwa maarufu na kuwasema sana. Weng wao ni Utopolo na baadhi ni wapambe wa viongozi fulani ndani ya Simba kwa ajili ya wivu tu. Aondoke asiondoke Simba Management bado atabaki mtu mwenye ushawishi mkubwa ndani ya Simba na kwenye media na katika Jamii. Kama una wivu... itabidi uji... Haya maisha kila mtu anakosea lakini chuki haifai
 
Sihitaji 'Kufanana' na 'Wachambuzi' wenu 'Uchwara' ila ninachojua Simba SC tulistahili 'Kichapo' kile kwakuwa Timu ilicheza 'Vibaya' kuliko maelezo.
Kwa maneno yako haufananii na mpenzi wa Simba! Waache wenye timu yao waiongelee! Kama ni mtani wa mnyama sema tu wazi. Mechi ya kwanza Yanga walifanya vizuri 45 min za mwanzo kipindi cha 2 walichemsha. Juzi walicheza tu 15 min. Baada ya hapo walicheza gwaride la kusukuma na kurusha mateke!
 
Kwa maneno yako haufananii na mpenzi wa Simba! Waache wenye timu yao waiongelee! Kama ni mtani wa mnyama sema tu wazi. Mechi ya kwanza Yanga walifanya vizuri 45 min za mwanzo kipindi cha 2 walichemsha. Juzi walicheza tu 15 min. Baada ya hapo walicheza gwaride la kusukuma na kurusha mateke!
You're a dame Fool...!!
 
Back
Top Bottom