Msemaji wa Simba Haji Manara acha Uongo, Uzushi na Kupotosha kwa Kumpelekea 'Lawama' Mwamuzi wa Jana Sumbawanga

Hivi kwanini Simba na yanga huwa hamkubali kufungwa
 
Kuna mambo yanasikitisha sana...


Cc: mahondaw
Leo Mtu ambaye nilihatarisha hadi Maisha yangu 'Kuipigania' Simba SC 'Kifitna' Uwanja wa Uhuru ikicheza na Enyimba nikiwa na Juma Nkamia ( Former MP ) na Mzee wa Kujitoa Mhanga Kassim Dewji ( KD ) naambiwa ni mwana Yanga SC na kuitwa 'Msaliti' eti kwakuwa tu sijaunga mkono 'Wapuuzi' wengi wanaosema kuwa Simba SC juzi 'tulionewa' pale Sumbawanga na kwamba 'Mwamuzi' Yule 'anatuchukia' mno na 'Katuua' pia.
 
Kuna 'Goli / Bao' lolote lile labda Simba SC yetu 'ilifunga' na huyu 'Mwamuzi' tunayemlaumu 'Kinafiki' hivi akalikataa? Tukubali tu Jamaa walituweza.
kwani makosa ya refa yapo kwenye kukataa bao la wazi tu? tunaongelea matukio ya yellow card na penalties
 
Matokeo ya ile mechi hayawezi kubadirika lakini yule refa ama amepewa rushwa au kiwango duni ungefatilia uchambuzi wa kipenga cha mwisho youtube ungeona madhaifu yake kwani clip inaonywesha na kuchambuliwa
Cha muhimu ni kuandaa tumu ipambane katika kila uwanja na katika kila hali.

Haya maswala ya refa hata England marefa wa hivo wapo lakini bado wanaaminika .

Cha muhimu ni kushinda tu, kumchambua refa huyu ana makosa na wakati timu ishapoteza point hata hakuleti mantiki yoyote.
 
Huyo ana maneno kushinda hata mtoto wa kike mpaka mkewe kamkimbia!
 
Na iwapo timu zitacheza mchezo wa nguvu na rafu namna hii bila kadi yoyote kutolewa,itasababisha kiwango cha mpira kushuka kwani timu zitakuwa zinasajili watabe tu ili zishinde,na mkienda kimataifa na approach hii,mnapigwa kadi na kushindwa kirahisi
Wewe umechekewa, Chelsea ya Morinyo ya kina Mikel Obi ilikuwa inapiga viatu si mchezo na timu yao ilitisha kwa ubora.
 
Ile mechi kwa uchezaji wa nguvu wa PRISON pale kati Angecheza Mkude+Mzamiru kama wakabaji sio Dilunga+Mkude.

Bwalya angebaki kuchezesha timu.. halafu kingine Striker Ilamfya hakuwa na mchezo mzuri.

marefa tusiwalaumu sana Prison walikaba vzr.. MORRISON anacheza kistaa kama yuko Barcelona na benchi atakaa sana
 
Huwa 'nawapenda' sana 'Wachangiaji' wenye 'Akili' pamoja na 'Upoeo' mkubwa hasa wa 'Kimtizamo' kama Wewe Mkuu na baadhi yenu tu hapa JF.
 
kitu gani cha ufundi umeongea hapo. kujua penalty kunahitaji ufundi? penalty ili ipatikane ni denying goal scoring opportunity

Wewe ni yanga Simba upo kimaslahi tangu lini mwigulu nchemba akaitakia mema Simba
 
Nakubaliana na Manara na Wewe mtoa maada kwenye baadhi hoja zako
 
Hujawahi Kumfunga Yanga SC bila kufanya Mchezo 'Mchafu' kwa Wachezaji wake na usitake ukanifanya nimwage 'Siri' hapa kisha mkashangaa pia.
Acha ujuaji mkuu unakijua wanacho kifanyaga yanga ili wapate ushindi au wao walicho kifanya siku ile ili wa win ile game.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…