Acha uongo ahmed ali nimesoma nae kirinjiko huyo ni simba lia lia
Leo ndio nimethibitisha we jamaa ni muongo sana
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Wewe jamaa una faidika nini na fake propaganda zako kama Hamas ushirikina upo sijui kama viongozi wako wa kiroho wanafahamu unasapoti sana mambo ya ushirikina huku Jf, unaokoteza taarifa zako vijiwe majungu huko unaleta humu wewe ni mchonganishi sana sijui una sali dhehebu gani hakuna mtu anayesali ana roho nyeusi kama wewe.
Hivi huyo Ahmed Ally aliuza ramani gani mbona mnatapatapa sana kwani Ahmed ndio Kocha kikosi cha Simba kilichocheza ni kile kile cha siku zote lawama za nini inafungwa Barca 7 man u inakula 6 mbona simba ikifungwa kelele sana.
inapendeza kama kesho namungo wakagusa mshono tena
Anaongea upumbavu tu na kutunga vitu, kwa aliyoandika hamjui Ahmed AllyKwani yy kuwa Yanga Ni dhambi au haiwwzekani?
Hahahaha,kwahiyo jamaa katupiga kamba akina sieAnaongea upumbavu tu na kutunga vitu, kwa aliyoandika hamjui Ahmed Ally
Huyo mbilikimo anapiga watu kamba anadhani humu kuna machizi kama yeyeHahahaha,kwahiyo jamaa katupiga kamba akina sie
πππ Ndumba km Ndumba tano tena sawa sawa na mkono, Ahmed Ally akiendelea na ulopokaji wake wa ovyo tu anavuliwa usemaji kawekwa kwenye tegobila kusahau upande wa Waganga wetu tunaowatumia.
Weka na ule Uzi wako uliouleta hapa Jamiiforums ukiwa unaomba Msaada wa Ajira kwa Members.
Mimi ni Chizi kama Mama yako Aliyekuzaa.Huyo mbilikimo anapiga watu kamba anadhani humu kuna machizi kama yeye
Weka na ule Uzi wako uliouleta hapa Jamiiforums ukiwa unaomba Msaada wa Ajira kwa Members.
Tafadhali adriz hebu nipandishie ule Uzi tafadhali kwani kuna Mpumbavu Mmoja naona anataka Kunizoea vibaya.
Nina Kazi ya Kuosha Mbwa Wangu na Kusafisha Banda lake hivyo naomba nitafute ili Ulambe Ajira na ikiwezeka pia nitakuwa Nakubandua ili Ujira wako uzidi kuwa mkubwa sawa?
CAPO DELGADO ππππ€ͺna ikiwezeka pia nitakuwa Nakubandua ili Ujira wako uzidi kuwa mkubwa sawa?
Kwa huku Kumjua Kwako kama Mkewe au Hawara yako hukubahatika Kumbebea Mimba zake hata mara moja tu?Acha uongo ahmed ali nimesoma nae kirinjiko huyo ni simba lia lia
Leo ndio nimethibitisha we jamaa ni muongo sana
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Ila mama yako kazidi uchiziMimi ni Chizi kama Mama yako Aliyekuzaa.
πππππ€ͺHaya,watu wamepenya,wakapewa ramani,mkwanja ukapelekwa. Mbona sijaona ukitaja kocha hapa?
Mmepingwa! Mmefumuliwa madude.
Yaani iko hivi,siku hizi, nyanya chungu za simba inachezea mijusi. Hahahahaha
Bro,hapa umeenda mbali. Majibu ya hovyo humu si kwamba yanakuwa ugomvi. Mtu anajibu anavyojisikia,wengine wanachangamsha tu jukwaa si kwamba ukweli hawaujui. Lakini unapoleta swala la mzazi,tena kwa kumtukana, unaferi. Hakika we ni mtu mzima,hiyo comment futa kabisaaa. Mjibu ovyo lakini mzazi wake mheshimu. HajamtumaMimi ni Chizi kama Mama yako Aliyekuzaa.
Now umekuwa edited haupo kama awali lakini original version ni huu ambao bado nimeuhifadhi katika secret file.Natafuta kazi halali jijini Dodoma
Huu uzi ufutwe. Nilikuwa na kijana Namuombea kazi. Alikiwa ni kijana wa Dodoma Elimu yake Undergraduate Development Economics. Masters Degree in Finance and Investment. AMEMALIZA MASOMO NA AMEPATA KAZI. Asanteni kwa ushirikiano. πwww.jamiiforums.com
Ule unaokuingiaga Msalani ( Ukwekani ) Kwako huku ukiwa Umebong'oa na Kukatika huwa hautoi Uharo huu huu unaouona Kwangu?We mbilikimo ni mpumbavu sana,uharo gani huu unatunga
ππππ€ͺMimi ni Chizi kama Mama yako Aliyekuzaa.
Acha wivu....Mimi kwa mtazamo wangu msemaji wa simba namchukulia kama mtu asiejielewa tu. Simba wameweka msemaji asiejua kitu.
Vitu anavyoongeaga ni kama mwezi mteke.kazi inayomfaa hapo simba ni kufua, kuweka vuzuri jezi za wachezaji. Yaani sio mtu wa kumuruhusu kuongea kwenye watu wenye akili zao za kutafakali mambo. Anatia aibu.