GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Asante sana Mkuu. Kanichokoza sasa atajuta.Now umekuwa edited haupo kama awali lakini original version ni huu ambao bado nimeuhifadhi katika secret file.View attachment 2808176
achana nao
Kafie mbele huko usidhani watu huku wametoroka mirembe kama wwUle unaokuingiaga Msalani ( Ukwekani ) Kwako huku ukiwa Umebong'oa na Kukatika huwa hautoi Uharo huu huu unaouona Kwangu?
Ahmed Ally akiendelea na ulopokaji wake soon anapigwa chini niamini Mimi yaan ule ulopokaji inabidi aidha aache au apunguze anawaaminisha watu kitu sicho anafanya watu wanamwaga machozi wazee wanaliaAcha wivu....
Kuna muda wa utani wa jadi ndo huwa akiongea maneno mengi..na kuna muda huwa yuko very serious...
Mfano alichambua mchezo wa Derby kisomi na kimpira hasa hakuweka mapenzi ya timu hapo bado mliona hafai..?
Acheni kaka afanye kazi yake...
Na bado itafika wakati mtaviogopa hata vivuli vyenu kwa mkong'oto wa Wananchi. hapo tu hamjasema bado.Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC (tena Jikoni kabisa) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii (Waigizaji) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina (zamani TCC Club Chang'ombe) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki/Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.
ANGALIZO
Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku (ignore) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.
Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA/HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya.
Nimemaliza.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Atakufa vibaya huyu ,aaache ubwegeAhmed Ally akiendelea na ulopokaji wake soon anapigwa chini niamini Mimi yaan ule ulopokaji inabidi aidha aache au apunguze anawaaminisha watu kitu sicho anafanya watu wanamwaga machozi wazee wanaliaView attachment 2808184
Achana na hii tabia yako ya umbea na majungu. Maana haitokuja kukufikisha popote pale.Ndugu yake ambaye si tu wamekuwa nae bali pia amesoma nae hadi alipokuwa Azam Media anamjua Nduguye ni Yanga SC lia lia na aliposikia kapewa Ulaji Simba SC alisikitika na Kuushangaa mno Uongozi wa Simba SC.
Yanga SC wamepandikiza Virusi wengi sana ndani ya Simba SC ( katika Uongozi ) na hadi Benchi la Ufundi bila kusahau upande wa Waganga wetu tunaowatumia.
Yanga SC Watatutesa na Kutuadhibu.
😆😆😆😆🤪Na bado itafika wakati mtaviogopa hata vivuli vyenu kwa mkong'oto wa Wananchi. hapo tu hamjasema bado.
mkopo wa watu umelipa? mkiwa jamiiforums mnajifanya wa maana wakati wengine mna madeni hadi huruma. lipa madeni ya watu au mpaka tukuweke wazi?Soon Kuna mtu anaenda kula ban ngoja niagize juice hapa
😆😆😆🤪Atakufa vibaya huyu ,aaache ubwege
We mkopo gani? Uweke wazi tu hapa npo tayar kukuelewesha, sijawahi kua na historia ya kudaiwa we mbilikimo tafuta strategy nyngn ya kuni-attackmkopo wa watu umelipa? mkiwa jamiiforums mnajifanya wa maana wakati wengine mna madeni hadi huruma. lipa madeni ya watu au mpaka tukuweke wazi?
Nilitoroka Mirembe pamoja na Aliyekuzaa.Kafie mbele huko usidhani watu huku wametoroka mirembe kama ww
A Hater, a Hypocrite and a Lummox at Work.Soon Kuna mtu anaenda kula ban ngoja niagize juice hapa
Selemani naona leo unapiga miguu yotemkopo wa watu umelipa? mkiwa jamiiforums mnajifanya wa maana wakati wengine mna madeni hadi huruma. lipa madeni ya watu au mpaka tukuweke wazi?
Selemani acha matusi SeleeNilitoroka Mirembe pamoja na Aliyekuzaa.
A Hater, a Hypocrite and a Lummox at Work.
Ninasikia anakubandua Milango yote.
Selemani weeeNinasikia anakubandua Milango yote.