Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Ule unaokuingiaga Msalani ( Ukwekani ) Kwako huku ukiwa Umebong'oa na Kukatika huwa hautoi Uharo huu huu unaouona Kwangu?
Kafie mbele huko usidhani watu huku wametoroka mirembe kama ww
 
Acha wivu....
Kuna muda wa utani wa jadi ndo huwa akiongea maneno mengi..na kuna muda huwa yuko very serious...
Mfano alichambua mchezo wa Derby kisomi na kimpira hasa hakuweka mapenzi ya timu hapo bado mliona hafai..?
Acheni kaka afanye kazi yake...
Ahmed Ally akiendelea na ulopokaji wake soon anapigwa chini niamini Mimi yaan ule ulopokaji inabidi aidha aache au apunguze anawaaminisha watu kitu sicho anafanya watu wanamwaga machozi wazee wanalia
 
Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC (tena Jikoni kabisa) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii (Waigizaji) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina (zamani TCC Club Chang'ombe) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki/Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku (ignore) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA/HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya.

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Na bado itafika wakati mtaviogopa hata vivuli vyenu kwa mkong'oto wa Wananchi. hapo tu hamjasema bado.
 
Ndugu yake ambaye si tu wamekuwa nae bali pia amesoma nae hadi alipokuwa Azam Media anamjua Nduguye ni Yanga SC lia lia na aliposikia kapewa Ulaji Simba SC alisikitika na Kuushangaa mno Uongozi wa Simba SC.

Yanga SC wamepandikiza Virusi wengi sana ndani ya Simba SC ( katika Uongozi ) na hadi Benchi la Ufundi bila kusahau upande wa Waganga wetu tunaowatumia.

Yanga SC Watatutesa na Kutuadhibu.
Achana na hii tabia yako ya umbea na majungu. Maana haitokuja kukufikisha popote pale.
 
mkopo wa watu umelipa? mkiwa jamiiforums mnajifanya wa maana wakati wengine mna madeni hadi huruma. lipa madeni ya watu au mpaka tukuweke wazi?
We mkopo gani? Uweke wazi tu hapa npo tayar kukuelewesha, sijawahi kua na historia ya kudaiwa we mbilikimo tafuta strategy nyngn ya kuni-attack
 
Ahmed allly : Imeshatokea haiwezi kufutika ingawa inauma sana mioyoni mwetu !
 
Nilitoroka Mirembe pamoja na Aliyekuzaa.
Selemani acha matusi Selee
FB_IMG_16992583151771630.jpg
 
Back
Top Bottom