Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally kuwa makini sana kwa sasa kwani umeshaingizwa katika 18 baada ya Mtego na Umeshashtukiwa

Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC (tena Jikoni kabisa) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii (Waigizaji) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina (zamani TCC Club Chang'ombe) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki/Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku (ignore) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA/HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya.

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Kipigo kimekuchanganya popoma wewe. Hata Barca na RM hutokeaga mmoja kuchezea kipigo cha 4 au 5 au 6. Usichanganyikiwe.
 
Ndugu yake ambaye si tu wamekuwa nae bali pia amesoma nae hadi alipokuwa Azam Media anamjua Nduguye ni Yanga SC lia lia na aliposikia kapewa Ulaji Simba SC alisikitika na Kuushangaa mno Uongozi wa Simba SC.

Yanga SC wamepandikiza Virusi wengi sana ndani ya Simba SC ( katika Uongozi ) na hadi Benchi la Ufundi bila kusahau upande wa Waganga wetu tunaowatumia.

Yanga SC Watatutesa na Kutuadhibu.
Kwani mara ya mwisho ambapo simba aliifunga yanga, hao wasaliti hawakuwepo huko simba?

Kwanini leo ndo wasemwe?

Mimi naamini aliyeisaliti simba ni mganga na siyo simba wala wachezaji.

Kitendo hiki kiliikuta simba ilipocheza na stella abjan pia

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
You are a mentally paralyzed sitaacha kukuambia hadi uende hospitali
Nik Mentally Paralyzed kama Aliyekuzaa hivyo kama unataka niende huko Hospitalini naomba niongozane nae na Yeye ( Aliyekuzaa ) ndiyo awe wa Kwanza Kutibiwa.

Naona sasa ID yako ya CAPO DELGADO uliyoitumia Kuombea Ajira hapa Jamiiforums umeipumzisha ukidhani Mimi ni Mpumbavu kama Wewe na ukija na hii nyingine sitokujua.
 
Nik Mentally Paralyzed kama Aliyekuzaa hivyo kama unataka niende huko Hospitalini naomba niongozane nae na Yeye ( Aliyekuzaa ) ndiyo awe wa Kwanza Kutibiwa.

Naona sasa ID yako ya CAPO DELGADO uliyoitumia Kuombea Ajira hapa Jamiiforums umeipumzisha ukidhani Mimi ni Mpumbavu kama Wewe na ukija na hii nyingine sitokujua.
Msubiri aje akushike mattacle
 
Mbona pale yanga privadinho ni Simba na Leo Yuko yanga na wametufunga 5.
Screenshot_20231109-080046.jpg
 
Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC (tena Jikoni kabisa) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii (Waigizaji) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina (zamani TCC Club Chang'ombe) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki/Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku (ignore) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA/HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya.

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Bado hujasema
 
Kosa la Ahmed Ally lilikuwa ni kumtaja Kibu Denis ndio mgeni rasmi. Na Yanga wakatengua fumbo kuwa Kibu ndiye atakayevalishwa kizizi cha ushindi wa Simba.

Hivyo wachezaji wa Yanga walielekezwa wamuumize ili asiendelee na mechi.
kilichotokea baadaya Kibu kutolewa uwanjani baada ya kuumizwa. Ni magoli mepesi kumiminika hadi yakafika 5G

Poleni. Yanga ilishinda kwa nguvu za tunguli, huyo kocha mnamtimua akiwa wala hana hatia.

Sasa hizi tunguli mbona hazitufanyi hata kombe la klabu bingwa tunaishiaga sana sana robo fainali, si tungekuwa tunalichukua kila msimu? Kukiwa hakuna elimu kichwani ujinga hutawala!
 
Mimi kwa mtazamo wangu msemaji wa simba namchukulia kama mtu asiejielewa tu. Simba wameweka msemaji asiejua kitu.
Vitu anavyoongeaga ni kama mwezi mteke.kazi inayomfaa hapo simba ni kufua, kuweka vuzuri jezi za wachezaji. Yaani sio mtu wa kumuruhusu kuongea kwenye watu wenye akili zao za kutafakali mambo. Anatia aibu.

Upo sahihi kabisa, nakuunga mkono! Hajielewi na wala haelewi majukumu ya msemaji wa klabu! Nina wasi wasi na elimu yake huyu!
 
Wewe na GENTAMYCINE wote ni wapuuzi tu kumbe thread ni 2020! Vipi nyie hamjawahi kupata shida?
Wewe ndie mpuuzi ,wapi mimi nimemcheka kutokana na hayo hiyo ?hauoni kwamba kupitia hiyo screenshot anaweza kupata msaada ?

Halafu umedakia mambo bila kujua chanzo wakati yeye ndiye muanzilishi wa tabia ya kuweka screenshots za watu sasa mfano ya GENTAMYCINE kuhusu utabiri wa mechi ya Yanga na Azam anaipitisha katika kila uzi ,sasa kivipi upate hasira na sisi tukiweka zake ?

Naomba majibu..
 
Wewe ndie mpuuzi ,wapi mimi nimemcheka kutokana na halo hiyo ?hauoni kwamba kupitia hiyo screenshot anaweza kupata msaada ?

Halafu umedakia mambo bila kujua chanzo wakati yeye ndiye muanzilishi wa tabia ya kuweka screenshots za watu sasa mfano ya GENTAMYCINE kuhusu utabiri wa mechi ya Yanga na Azam anaipitisha katika kila uzi ,sasa kivipi upate hasira na sisi tukiweka zake ?

Naomba majibu..
Mnafiki tu wewe apate msaada leo thread ni 2020!! Tabia za kike hizo
 
NIMESOMA POST ZA WASHABIKI WA SIMBA ZINATIA HURUMA
KAMA MTAENDELEA NA MAWAZO HAYO POTOFU, HII KILABU HAITAFIKA MBALI; ITAISHIA HAPA HAPA BONGO
MIMI SIO MPENZI WA MPIRA ILA NAVUTIWA NA STRATEGIES ZA YANGA
KIPINDI YANGA INABORONGA NA HATA KUPOTEZA KOMBE MARA NNE
HATA SIKU MOJA HAWAKUHUSIANISHA KUFELI KWAO NA IMANI ZA UCHAWI, SIJUI KUHUJUMIWA NK.
WALITUMIA NGUVU KUBWA KUTAFUTA TATIZO na kulipatia ufumbuzi;
(ndio wakaweka mikakati ya KUPATA KOCHA BORA NA WACHEZAJI WAZURI na wenye umri mdogo)
HICHO NDICHO KINACHO IBEBA YANGA HADI LEO
KWA UPANDE WA CLUB YA SIMBA BADALA YA KUTATUA TATIZO WANATENGENEZA MATATIZO!!!
 
Kama kuna Kitu ambacho GENTAMYCINE ninawapongeza Yanga SC kwani Wamekiweza na Kinawasaidia mno ni Kupenyeza Watu wao HATARI ndani ya Simba SC (tena Jikoni kabisa) halafu Waliopenyezwa nao kuwa Wasanii (Waigizaji) kwa kujifanya ni wana Simba SC na Wanaifia sana Timu kumbe nyuma ya Pazia wanatoa Ramani zote za Vita kwa Adui na Timu ikifungwa mbele ya Media wanajifanya Kuumia na Kusikitika ila wakiwa tu Mafichoni Kwao pale Gwambina (zamani TCC Club Chang'ombe) wanaanza Kucheka, Kukata Viuno na Misebene ya Kikongo huku Gari aina ya ALPHARD Nyeusi ya Ofisini kwa Tajiri Posta Juu Ghorofani ikileta Fedha kwa Kazi nzuri ya USALITI na KUTUUMIZA wana Simba SC huku Kinafiki/Kiunafiki ukijifanya uko pamoja nasi.

ANGALIZO

Huvutiwi na Taarifa / Habari zangu GENTAMYCINE hapa Jamiiforums njia ni rahisi tu achana na Mimi, usifungue Thread yangu na itapendeza zaidi kama utanibloku (ignore) ili tusichoshane na uniachie tu wale Werevu na Wanaonielewa na Kuniamini waendelee Kuhabarika kwa ninayoyaleta hapa ambayo kamwe huwezi kuyapata kwa yoyote yule.

Kuendelea kumsoma na kumfuatilia GENTAMYCINE ambaye kutwa HUMPENDI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI wake na HUZIAMINI TAARIFA/HABARI zake kunaonyesha kuwa MOYONI mwako UNAMKUBALI ile mbaya.

Nimemaliza.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Wee mbuz Kazi yako Ni kuwaharibia watu Kazi zao sas litakukuta Jambo baya sna hayawani wew
 
Back
Top Bottom