Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Ki ukweli, Manara anatuwakirisha vyema wana Simba! Anatufanya tutembee vifua mbele! Hilo KERO awapalo, ndiyo furaha kwetu!
Manara anaifanya kazi yake vizuri sana, amewatia unyonge sana Mashabiki wa yanga.Jaribu kufatilia comment nyingi humu,Ili mwanayanga yoyote aiseme simba lazima aanze kwa kusema "mimi ni Simba ila...." yani hawajiamini kabisa[emoji28].
 
Akiambiwa ukweli analia eti wanamuonea kisa mlemavu[emoji23][emoji23][emoji23]
Ujue hawa zeruzeru upungufu haupo kwenye ngozi tu, athari inayoonekana ipo mpaka kwenye ubongo na damu.

Umesawahi ona albino akimchangia mtu damu?
Wa kuhurumiwa tu huyo
 
Kasema ukweli.... Yanga walikimbia mechi ila wanajificha ndani ya kanuni.... Walishindwa kutambua maelfu ya mashabiki waliokuwepo uwanjani...
 
Yaani, Haji Manara na akili zake zote hajaona kuwa Yanga wamefanya sahihi na kwa walichofanya anataka wakosolewe Yanga alafu isifiwe simba.

Tatizo wanakuchekea sana mpaka unajiona Mungu mtu
 
Saa saba usiku unamuwaza manara, yeye ameshapata usingizi sahivi huko jo'berg south africa.
 
Hali yake ndiyo inamfanya awe hivyo, msameheni tu, maana retaliesheni yoyote mtaanza kuitwa wabaguzi.....ila inabidi apunguze ujuaji
 
Uto ktk ubora wao manara anawapatia sana unashindwa kulala unamuwaza mtu ambae hana ata tija ktk maisha yako kwel anawakuna kisawasawa El bughati shikilia apo apoo

WATAPATA TABU SANAAA
 
Manara kawapiga panapouma [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] af usituingize sisi yeye kawatukana waandishi wa habari makanjanja na sio watanzania.
 
Manara kawapiga panapouma [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] af usituingize sisi yeye kawatukana waandishi wa habari makanjanja na sio watanzania.
Hata Eymael alipowasema utopolo ni uneducated wqkageuza kibao kusema watanzania walitukanwa kumbe yanga
 
Yanga wanajua kabisa baadhi ya wachezaji wao muhimu walikuwa majeruhi hata ilipoletwa post ya kuonyesha hali ya kambi si shwari utopolo walimshambulia mtoa hoja ila ukweli unabaki yanga walikimbia kipigo
 
Back
Top Bottom