Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga kubalini mlimkimbia mnyama mkaamua kujificha kwenye kichaka cha kanuni.
Sina shska wewe shule ulipata div 0 or div 4Habari!
Nimemsikiliza huyu Haji Manara kwa kipindi kirefu sana kama msemaji wa Simba Sc ila watani zangu naona kwa uropokaji huu utamgharimu Haji Manara mwenyewe pia hata kwa timu yake...
Kwani ukisema wewe ni yanga kuna kibaya kitakukuta? Hii tabia ya kutanguliza kauli "Mimi ni Simba ila" ni kudhibitisha udhaifu tu.Mimi ni Simba ila Manara ile Clip kakosea anaiweka Simba kwenye wakati mgumu,maana kushirikiana na vyombo vya habari ina umuhimu wake.
Kuwaita waandishi takataka haijakaa poa, binafsi sijapenda apunguze kidogo kuongea
Ki ukweli, Manara anatuwakirisha vyema wana Simba! Anatufanya tutembee vifua mbele! Hilo KERO awapalo, ndiyo furaha kwetu!Kwani ukisema wewe ni yanga kuna kibaya kitakukuta? Hii tabia ya kutanguliza kauli "Mimi ni Simba ila" ni kudhibitisha udhaifu tu.
Yeye mwenyewe mbona ni taka taka ya muda mrefu tu!?Taka taka mbona zipo...? Kasema Ukweli tu
Haji Manara Jitahidi Ubadilike.We nawe huna lolote ni Wivu tu.
Hebu tuondokee hapa
Mkuu kasikilize uropokaji wake kwa mara nyingine tena jana.Karopoka Kusema Yanga Walikimbia mechi.?
Aaah! Hapana mkuu tusizungumze kwa namna hiyo.Akiambiwa ukweli analia eti wanamuonea kisa mlemavu[emoji23][emoji23][emoji23]
Kinachoshangaza ni yeye kuamini bado yupo sahihi kwenye uropokaji wake.Huwezi tarajia mtu anayewakilisha taasisi kubwa kama Simba kuropoka namna ile aisee!
So lack of professionalism.
Kamsikilize tena mkuu.Mbona ni Kweli Utopolo walikimbia mechi...
Lakini umesikia alichoropoka jana boss?kumbe manara ni mkubwa nchi hii, ok lakini tusisahau ni mshabiki mnazi wa timu anayoifanyia kazi
ata mimi au wewe viongozi wa sekta ya kabumbu kwa njia moja ama nyingne tumewapa kila aina ya matusi
Kamsikilize tena mkuu.Utopolo Mwaka huu mtaimba nyimbo zote...... Back to Back Za Miaka 10 Za Manara zinawatesa.. ! Na Bado Mtazikimbia Sana hizi Mechi
Mkuu unataka tuzungumze kuhusu kufata kanuni na matakwa ya watu?Yanga kubalini mlimkimbia mnyama mkaamua kujificha kwenye kichaka cha kanuni.
Mbio za sakafuni zina mwisho wake.Huyo jamaa ameachwa anaropoka anachojisikia.
..........
Angetaja majina yao moja kwa moja kuondoa taharuki kwa waandishi wa habari.Taka taka mbona zipo...? Kasema Ukweli tu