Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Weeeee sio kweli KABISA ni shababi[emoji1434] na ana marinda yote
Ana mashineeeeeee[emoji1434][emoji1434][emoji1434]kubwa alafu tamu

Nb; usiniulize nimejuaje[emoji2957]
Tetesi tu hizi pisi kali wanasema lisrmwalo lipo maana na mm nimezitoa ndani Sana huko GSM kwa gharib
 
Nilichogundua kwenye Uzi huu ni kwamba tayar u simba na yanga umeingia wa yanga tupo upande wa kitenge na simba wapo upande wa manara sisi wa yanga tunataka kujua mzee tozi ni nan
 
Nilichogundua kwenye Uzi huu ni kwamba tayar u simba na yanga umeingia wa yanga tupo upande wa kitenge na simba wapo upande wa manara sisi wa yanga tunataka kujua mzee tozi ni nan
Hamna cha Usimba na Uyanga,huyu sometime mpaka club yenyewe inamkataa kwa kuropoka kwake.

Unakumbuka kipindi kile alichosema mashabiki wa Yanga wasiingie kuangalia mechi yao ya Plateau ,jioni TFF wakaandika barua kumuonya,ina maana TFF nayo Yanga?.

Hiyo haitoshi viongozi wa Simba na Mo mwenyewe wakamkana na kusema alichosema sio msimamo wa Simba.
 
Manara kuna kipindi ali muattack shaffih Dauda alafu issue yenyewe ilikuwa ya kawaida,jamaa ana mihemko na Simba yake kwani kosa lake si kuliona.
Haji bila Simba atakufa njaa,kwa hiyo lazima aropoke ndio MO amuone anafanya kazi,hebu jiulize Haji ana elimu gani na ujuzi upi zaidi ya kuwa mwandishi habari kanjanja.
 
Nimegundua DSM wanaume wengi machoko aisee , sjui Kwa nini wazee
Wengi wanatembea na wake za watu na kuishia kulawitiwa na vikosi vilivyokodiwa na wanaume wa wanawake hao.

Wadau wanaotumia mtandao huo pendwa wa 071....wakipata taarifa kuwa kuna duka jipya limezinduliwa...hukimbizana kupeleka ofa za kuvutia kwa mlengwa na mwisho wa siku humuacha akiwa shoga sugu huku akihongwa ofa mbalimbali...mashoga wengi hutengenezwa hivyo mjini hapa...na kwa sasa trend imehamia kwa vijana wa bodaboda wapenda slope...hao kila siku hufanyiwa vitendo hivyo kwa kupenda wake za watu...muda si mrefu watu wataanza kudai haki zao nchini hapa.
 
Wengi wanatembea na wake za watu na kuishia kulawitiwa na vikosi vilivyokodiwa na wanaume wa wanawake hao.

Wadau wanaotumia mtandao huo pendwa wa 071....wakipata taarifa kuwa kuna duka jipya limezinduliwa...hukimbizana kupeleka ofa za kuvutia kwa mlengwa na mwisho wa siku humuacha akiwa shoga sugu huku akihongwa ofa mbalimbali...mashoga wengi hutengenezwa hivyo mjini hapa...na kwa sasa trend imehamia kwa vijana wa bodaboda wapenda slope...hao kila siku hufanyiwa vitendo hivyo kwa kupenda wake za watu...muda si mrefu watu wataanza kudai haki zao nchini hapa.
Nouma Sana mkuu
 
Wengi wanatembea na wake za watu na kuishia kulawitiwa na vikosi vilivyokodiwa na wanaume wa wanawake hao.

Wadau wanaotumia mtandao huo pendwa wa 071....wakipata taarifa kuwa kuna duka jipya limezinduliwa...hukimbizana kupeleka ofa za kuvutia kwa mlengwa na mwisho wa siku humuacha akiwa shoga sugu huku akihongwa ofa mbalimbali...mashoga wengi hutengenezwa hivyo mjini hapa...na kwa sasa trend imehamia kwa vijana wa bodaboda wapenda slope...hao kila siku hufanyiwa vitendo hivyo kwa kupenda wake za watu...muda si mrefu watu wataanza kudai haki zao nchini hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu sina wallah khaaaah
 
20210310_163857.jpg



Wazee wetu hawawezi kukubali vijana wao tukosane tena hadharani ,, Kikao kizuri chini ya Baba yetu Sunday Manara na Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu kimefanikiwa kuzika tofauti zetu na sasa tumerudi kuliko zamani!! Sisi ni ndugu kifamilia na tunaomba radhi wote mliokwazika https://t.co/CEY5syEfrH
 
Back
Top Bottom