Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

Binamu hapa ninapokwambia ndoa za watu zipo hatarin kwa ajil ya mk wa warumi , halafu Kwan mtu akiwa ana enjoy show hujui, c mnatetemekaga kama mmepata shot ya umeme wa mgao mxieew, maneno yanawaropoka utadhan mnajifunza kuongea
Acha ujnga bhana unafanya tunadindsha
 
We mwenyewe unajua,hirizi kwa Mtanzania ni sawa na uji na mgonjwa.

Hili la Mzee Tozi linasikitisha sana.Aombwe aache huo mchezo.

Mwenzangu hiriz sunna, mi mwenyew ninazo kwenye kipochi changu kokote nikienda nabeba, chezeya ndele weye[emoji23], mjini lazima uji boost babu wee, Tatizo watu hawana connection mjin
 
Hii tabia ya kushambulia waandishi wa habari ni hovyo sana. Haitakiwi kushabikiwa na yoyote anayeamini vyombo vya habari ni muhimili wa nne kwenye nchi na muhimili wa muhimu zaidi kuleta uwajibikaji kwa taasisi nyingine.
Aliyekudanganya mhimili wa nne ni nani, hao waandishi wa hovyo kama kitenge ndio wawe mhimili wa nne
 
Jamaa aliwezeshwa kitambo sana yeye na mwenzie dimpoz....

Hayo ya USA ni mwendelezo tu.... mji mzito kweli ila haukua mzito kama awamu ya 4.

Inabid nije na mji mzito part 4 kwa kweli , series iendelee, ila hawa akina kitenge, ommy, b 12 sio story tena, kuna wale wengine wapo kwenye list mpaka mdomo unakua wazi, mji mzito huu[emoji16]
 
Acha ujnga bhana unafanya tunadindsha

Jaman binamu na wewe unadindisha mbele za watu[emoji23][emoji23], nyoo si mnajifanyag walokole nyie hampendi nyuma mxieew wakat wenzenu had magar wanatoa

Fikiria ukifanya maamuzi Njoo inbox [emoji23]
 
Inabid nije na mji mzito part 4 kwa kweli , series iendelee, ila hawa akina kitenge, ommy, b 12 sio story tena, kuna wale wengine wapo kwenye list mpaka mdomo unakua wazi, mji mzito huu[emoji16]
Hahahaha, itabidi unitag maana file ni nyingi na tumewaandalia sana space kwenye misafara.
 
Jaman binamu na wewe unadindisha mbele za watu[emoji23][emoji23], nyoo si mnajifanyag walokole nyie hampendi nyuma mxieew wakat wenzenu had magar wanatoa

Fikiria ukifanya maamuzi Njoo inbox [emoji23]
Inbox siji binam ushanipa utam wote hapa...wengine tunanyonyaga hio kitu astaghaf..."₹ Ntakuua bure
 
Back
Top Bottom