Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Huyu Hajji nadhani kichwani hakuko sawa kabisa...........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini tisijadili kwanza suala la mzee tozi mkuu? Hirizi kwa sisi waswahili si ishu saaana ila hili suala la mtu kupigwa bomba hindu mandal la kushtua sanaTujadili hili ... "Je anasingiziwa..?"[emoji848][emoji848][emoji848]
Eti huyu nae ni mme wa mtu..Sikuhizi hakuna tofauti ya Hamisa mobeto na Hajis manara. Sijui tunaenda wapi wanaume wanaandikana kwenye mitandao ya kijamii.
Haji ana inferiority complex tuManara kuna kipindi ali muattack shaffih Dauda alafu issue yenyewe ilikuwa ya kawaida,jamaa ana mihemko na Simba yake kwani kosa lake si kuliona.
Upo mzee babaThese gays lack proffessionalism kwenye vibarua vyao...Ipo siku itawacost...usikute wamegongana sehem
Ukiona ivo ujue tayari ni wameshakuwa wamama na wameshea mumeSiku hizi Wanaume nao wanachambana?!
Nan kakwambia manara ni mwanaume mwenzioIla wanaume tunapungua aisee, Manara gazeti lote hili kwa mwanaume mwenzio tena mtandaoni duh hahaha
Aisee!View attachment 1719211
Huu umbea wa Balgeen Abdul na sakata la hirizi hapa Manara ndo kanidindisha masikio, masikio yamesimama utafikiri zile kofia za Mama Rwakatare[emoji23][emoji23], ila kaniudhi mxieew badala yakutupatia umbea full anatupatia nusu nusu, ananipa assignment nzito wakati Warumi mie siku hizi nimeokoka
Kwani mkuu mwanahabari katoa habari ajagusa maisha ya ndani ya manara, kwann manara anakuja na personal attack?? Kwani hirizi ni nini bana, wengi wafitini kazini kwene Biashara, mitaani tunapoishi wengine warogi adi wanaua kuna shida gan Mau kutembea na bima ya afya???Tujadili hili ... "Je anasingiziwa..?"[emoji848][emoji848][emoji848]
Kausha mwana utaharibu CV za mtuMimi naona bora tuanze na la Mzee Tozi Kwanza.
Binam nipm tafadhali...Ila raha ya ndoa iwe na Uke wenza full kupeana challenge[emoji23], bi mkubwa akinunuliwa prado , bi mdogo wataka Range Rover , sitaki mie warumi
Ila binamu hakuna mwanaume mtamu duniani kama mume wa mtu , wana ka utam flan hiv special na wanajua kuhonga balaa[emoji23]
Pelekeni ujinga wenu huko na huyo kiazi mwenzenu.Upo serious kweli kuandika madudu mtupu
Aah nimejichanganya sorry nikajua wee ndio mleta mada mjukuu[emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pimbi baba yako aliyekuzaa, mwanaume hatishii kusema siri za mwanaume mwenzake yeye anapasuka tu, ni watoto wa kike ndio hutoa angalizo kama la kwako.Nimekuambia kuwa Matendo yake ni Threat kwa Usalama wa hizo nchi? Pimbi mkubwa Wewe. Matendo yake ni Hatari Kibaiolijia na Kiafya mno tu.
Binam nipm tafadhali...
Nyie wanaume wa dar kweli mmekwisha, yaani huu utamu unaopatikana katikati ya miguu ya wanawake mmeuacha mnaanza kugeuzana wenyewe kwa wenyewe?Wanaume tumekwisha!!!
Nyie wanaume wa dar kweli mmekwisha, yaani huu utamu unaopatikana katikati ya miguu ya wanawake mmeuacha mnaanza kugeuzana wenyewe kwa wenyewe?
Huu mjadala unatia aibu kweli, aisee wanaume tunaaibika kijinga kwa upuuzi wa wanaume wachache.
Tufike mahali chama cha wanaume tuweke mikakati ya kuwatandika mikwaju wanaume wenye tabia za kuabishana mitandaoni.