Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amuonya Maulid Kitenge kwa uzushi wake usiovumilika

huyo dawa yake ni Jerry muro. Akitokeaga muro albino anageukaga kuwa mweusi Kama mkaa
Kama hujui nikwambie. Wakat Muro akiwa me maji Yanga ilikuwa VIZURI. Chini ya manji na TFF ya kina Malinzi. MWAMBIE MURO SASA UONE NAYE ALIVYO MNYONGE. Unyonge wa wasemaji wa vilabu tofauti na simba kwa sasa ni Wanyonge. UBORA WA TIMU tumia akili walau kdgo
 
Mwamedi hakuliona hili mapema?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…