GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Hao TAKUKURU wasiishie tu Singida bali waende hadi kwa Simba aliyefungwa 5, Belouizdad aliyefungwa 4, Medeama aliyefungwa 3 hadi kwa Mamelodi waseme wameongwa sh ngapi hadi wameisamehe kuifunga Yanga mvua ya magoli kwa dakika zote 180 wakati mtaani watu wamezimaliza jezi za UBUTHU BOTHO kwa kuzinunua kwa fujo.Baada ya Kuiangalia Video Clip yako iliyowekwa na Gazeti la Mtanda wa Mwanaspoti ( ulipokuwa unazungumza ) huku Body Language yako ikielezea mengi na Sura yako ikiwa Kali isivyo kawaida na kama ulivyozoeleka naamini kuna Jambo lililojificha lakini kama Siku PCCB ( TAKUKURU ) wakiamua waingie Kazini kufanya Uchunguzi huenda kuna Timu hapa Tanzania zitaaibika na hata Kufungiwa au kushushwa Daraja kabisa.
Cc: Hussein Massanza
Nikumbushe Mechi yoyote SFG vs Yanga ambayo Kakolanya amedaka mwaka Jana au mwaka huu. Nàpenda facts kama wewe.Baada ya Kuiangalia Video Clip yako iliyowekwa na Gazeti la Mtanda wa Mwanaspoti ( ulipokuwa unazungumza ) huku Body Language yako ikielezea mengi na Sura yako ikiwa Kali isivyo kawaida na kama ulivyozoeleka naamini kuna Jambo lililojificha lakini kama Siku PCCB ( TAKUKURU ) wakiamua waingie Kazini kufanya Uchunguzi huenda kuna Timu hapa Tanzania zitaaibika na hata Kufungiwa au kushushwa Daraja kabisa.
Cc: Hussein Massanza
Wewe Pimbi unajua umenifanya Nicheke sana?Uchungizi uanzie mechi ya Mashujaa na 5imba then Ihefu na 5imba goli gani lile Che Malone anajilaza kipa nae katoka
Wasize mtya Ssebo?Wewe Pimbi unajua umenifanya Nicheke sana?
Tujikumbushe tukio la ULIMBOKA pale manunguBaada ya Kuiangalia Video Clip yako iliyowekwa na Gazeti la Mtanda wa Mwanaspoti ( ulipokuwa unazungumza ) huku Body Language yako ikielezea mengi na Sura yako ikiwa Kali isivyo kawaida na kama ulivyozoeleka naamini kuna Jambo lililojificha lakini kama Siku PCCB ( TAKUKURU ) wakiamua waingie Kazini kufanya Uchunguzi huenda kuna Timu hapa Tanzania zitaaibika na hata Kufungiwa au kushushwa Daraja kabisa.
Cc: Hussein Massanza