Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe hapa kwa Kumjengea Nyumba Mama yako ili aishi na siyo Waishi sote na Baba yako umechemka vibaya mno

Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe hapa kwa Kumjengea Nyumba Mama yako ili aishi na siyo Waishi sote na Baba yako umechemka vibaya mno

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na Kutulea.

Na wote wakamalizia kwa kusema kuwa kwa 95% Baraka za Mtoto ziko kwa Baba Mzazi ambaye alikutoa Kiunoni mwake.
 
Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na Kutulea.

Na wote wakamalizia kwa kusema kuwa kwa 95% Baraka za Mtoto ziko kwa Baba Mzazi ambaye alikutoa Kiunoni mwake.
Anahitaji kufundishwa na kukumbushwa
 
Hata mi imenifikirisha ila sababu ni maisha Yao basi kwetu yabaki kuwa kitabu
 
Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na Kutulea.

Na wote wakamalizia kwa kusema kuwa kwa 95% Baraka za Mtoto ziko kwa Baba Mzazi ambaye alikutoa Kiunoni mwake.
Kweli mkuu hata kwenye biblia baraka zilitolewa na baba sio mama... Lakini haya yote ni makosa ya nani?
Huwezi hua nyuma ya pazia Kuna nn?
 
Ulitaka waishi wote nyumba ilihali walishaachana au pengine hawakuwahi kuoana ama kuishi pamoja, kisa tu nyumba?
 
Nimeshajiandaa kisaikolojia Toka sasa mpaka hapo nitakapozeeka Panapo majaaliwa.....
 
Mama yake ali kamwe aliachana namzee Kamwe miaka mingi. Mzee Kamwe amejenga na ana maisha mazur. Mama kamwe alikuwa bado amepanga mtoto wake akaamua Kumheshimisha. shida hapo iko wapi? kwani mzee kamwe yeye hana sehemu ya kukaa? alyy huwa hamsaidii mahitaji mengine baba yake? Tuache watu waishi watakavyo
 
Pengine hakumlea....alivyoweka mimba akasepa..hapo unategemea nini??

fainali uzeeni...apandacho mtu ndicho atakacho vuna
 
Mama yake ali kamwe aliachana namzee Kamwe miaka mingi. Mzee Kamwe amejenga na ana maisha mazur. Mama kamwe alikuwa bado amepanga mtoto wake akaamua Kumheshimisha. shida hapo iko wapi? kwani mzee kamwe yeye hana sehemu ya kukaa? alyy huwa hamsaidii mahitaji mengine baba yake? Tuache watu waishi watakavyo
si unajuwa tena nchi ya CCM hii kila mtu mjuwaji.
 
Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na Kutulea.

Na wote wakamalizia kwa kusema kuwa kwa 95% Baraka za Mtoto ziko kwa Baba Mzazi ambaye alikutoa Kiunoni mwake.
We unaijua historia ya Kamwe na baba yake?kama haujui Kaa kimya na hii iwe fundisho Kwa wababa wote wanaokimbia familia
 
Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na Kutulea.

Na wote wakamalizia kwa kusema kuwa kwa 95% Baraka za Mtoto ziko kwa Baba Mzazi ambaye alikutoa Kiunoni mwake.

Nilikuwa na hisia kama hivi ila juzi nikaambiwa na mdau wa karibu na Kamwe kuwa baba yake na mama yake walishaachana tangu Ally akiwa mdogo!!

Baba alishaoa wanawake wengine anaishi nao, so kwa kuziona shida za mama yake mzazi kaanza kwa kumtafutia pa kuishi kwanza.

Baba alishajenga kitambo. I stand to be corrected!!
 
Mzee kasha jenga na mishe zake Maza bado anajitafta kwa hali hio una anza na nani?
 
Kijana kumbuka utakapozeeka huwi mama, unakuwa kama baba yako mwenye watoto kama wewe ulivyo kwa baba yako. Lolote ufanyalo usisahau KARMA.
 
Kijana kumbuka utakapozeeka huwi mama, unakuwa kama baba yako mwenye watoto kama wewe ulivyo kwa baba yako. Lolote ufanyalo usisahau KARMA.
Mkuu, ni vyema watu wakatambua na ku-uzingatia USHAURI WAKO.
 
Mkuu, ni vyema watu wakatambua na ku-uzingatia USHAURI WAKO.
Mkuu, tunajisahau mno, unakuta kijana yupo mjini anazungumza na mama yake tu kamsahau baba yake kabisa ilihali na yeye ana mtoto/watoto ambao wapo karibu na mama yao muda mwingi na wala hauoni uzee wake utakavyofanana kupitia baba yake.
 
Kuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na Kutulea.

Na wote wakamalizia kwa kusema kuwa kwa 95% Baraka za Mtoto ziko kwa Baba Mzazi ambaye alikutoa Kiunoni mwake.
Hivi namba zako ni hizi 0783657519 na 0688255974?
 
Back
Top Bottom