Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayakuhusu genta,muache na mama yake,mambo ya ndani huyajuiKuna Kasisi Mmoja nilimsikia (pamoja na Sheikh fulani) wakisema kuwa Watoto wengi tunapoteza Baraka zetu kwa Kukosana na Baba zetu kwa Kuwadharau na Kutowajali tukidhani (kwa Kudanganywa) kuwa Mama zetu ndiyo hasa wenye Baraka nasi kwakuwa tu wametubeba Matumboni mwao kwa Miezi Kenda (Tisa) na Kutulea.
Na wote wakamalizia kwa kusema kuwa kwa 95% Baraka za Mtoto ziko kwa Baba Mzazi ambaye alikutoa Kiunoni mwake.
Losa ni yule alijenga kwa nn alikaribishe mitandao kwe ye maisha binafsiMama yake ali kamwe aliachana namzee Kamwe miaka mingi. Mzee Kamwe amejenga na ana maisha mazur. Mama kamwe alikuwa bado amepanga mtoto wake akaamua Kumheshimisha. shida hapo iko wapi? kwani mzee kamwe yeye hana sehemu ya kukaa? alyy huwa hamsaidii mahitaji mengine baba yake? Tuache watu waishi watakavyo