David Harvey
JF-Expert Member
- Jul 17, 2014
- 2,894
- 6,020
Nyie 5G mna nini cha zaidi cafcl?naona mnachonga ngenga sanaHabari ndoio. Wakubwa wanaanzia nyumbani, wasiojielewa wanaanzia machakani. Kumfunga simba hakukupi ukubwa Afrika kwani katika timu iliyoofunga simba mara nyingi ni utopolo lkn utopolo hana ukubwa wowote Afrika.
