Mseme mapema kama Belouizdad ni wabovu au lah!

Mseme mapema kama Belouizdad ni wabovu au lah!

Habari ndoio. Wakubwa wanaanzia nyumbani, wasiojielewa wanaanzia machakani. Kumfunga simba hakukupi ukubwa Afrika kwani katika timu iliyoofunga simba mara nyingi ni utopolo lkn utopolo hana ukubwa wowote Afrika.
Nyie 5G mna nini cha zaidi cafcl?naona mnachonga ngenga sana
 
Ndio useme Sasa mapema
Katika kitu ninachosubiri,ni kutoka hapa,niweze kujiridhisha kuwa,hii timu kweli ni bora,au ilitufunga kwa kutumia makando kando na ulozi,maana hapa hakuna kupitia milango ya nyuma,hapa huingii na ulozi,hii ni timu yenye ubora,ikipigwa na hii,au ikitoa sare,basi nitakiri ubora😃 bado masaa tu
F_nnr9CXQAAAl4t.jpeg
F_nnr9CXQAAAl4t.jpeg
 
Sio kweli mbona mwenzio mechi iliyofata alishinda wewe kwa nini ulitoa sare
Ukilogwa inachukua mda kupona na ndiomaana game ya namungo bado tulipata tabu sana ila game ya Jumamosi usikose maana pira litapigwa sana
 
Sio kweli mbona mwenzio mechi iliyofata alishinda wewe kwa nini ulitoa sare
Katika kitu ninachosubiri,ni kutoka hapa,niweze kujiridhisha kuwa,hii timu kweli ni bora,au ilitufunga kwa kutumia makando kando na ulozi,maana hapa hakuna kupitia milango ya nyuma,hapa huingii na ulozi,hii ni timu yenye ubora,ikipigwa na hii,au ikitoa sare,basi nitakiri ubora
F_nnr9CXQAAAl4t.jpeg
 
Katika kitu ninachosubiri,ni kutoka hapa,niweze kujiridhisha kuwa,hii timu kweli ni bora,au ilitufunga kwa kutumia makando kando na ulozi,maana hapa hakuna kupitia milango ya nyuma,hapa huingii na ulozi,hii ni timu yenye ubora,ikipigwa na hii,au ikitoa sare,basi nitakiri ubora😃 bado masaa tu View attachment 2822858View attachment 2822858
Kweli nyani aaoni kundule.
Ulozi nyie nanyi Si mnafanyaga adi ugenini Kwa watu mchana kweupe pe bila hata chembe ya aibu na bado mkakandwa nyie si ndio mliotaka choma uwanja wa Mzee Madiba uko bondeni. Laiti kama vikosi vyao zimamoto na uokozi vingekua kama vya hapa nyumbani saizi tunazungumza mengine huo ulonzi wenu umealibu nyasi za watu adi Leo azioti lile eneo linakipara
 
Kweli nyani aaoni kundule.
Ulozi nyie nanyi Si mnafanyaga adi ugenini Kwa watu mchana kweupe pe bila hata chembe ya aibu na bado mkakandwa nyie si ndio mliotaka choma uwanja wa Mzee Madiba uko bondeni. Laiti kama vikosi vyao zimamoto na uokozi vingekua kama vya hapa nyumbani saizi tunazungumza mengine huo ulonzi wenu umealibu nyasi za watu adi Leo azioti lile eneo linakipara
Tusiongee sana badae tutakuta hapa baada ya game ya leo usiku
 
Katika kitu ninachosubiri,ni kutoka hapa,niweze kujiridhisha kuwa,hii timu kweli ni bora,au ilitufunga kwa kutumia makando kando na ulozi,maana hapa hakuna kupitia milango ya nyuma,hapa huingii na ulozi,hii ni timu yenye ubora,ikipigwa na hii,au ikitoa sare,basi nitakiri ubora😃 bado masaa tu View attachment 2822858View attachment 2822858
Nimenukuu hapo tu

"....ni timu yenye ubora,ikipigwa na hii,au ikitoa sare,basi nitakiri ubora😃 bado masaa tu"
 
Katika kitu ninachosubiri,ni kutoka hapa,niweze kujiridhisha kuwa,hii timu kweli ni bora,au ilitufunga kwa kutumia makando kando na ulozi,maana hapa hakuna kupitia milango ya nyuma,hapa huingii na ulozi,hii ni timu yenye ubora,ikipigwa na hii,au ikitoa sare,basi nitakiri uboraView attachment 2822867
Kwani mechi ya mwisho si alicheza hapo na akapata matokeo au umesahau??
 
Back
Top Bottom