Msg to Kiba..Hii Mwana sijui Dsm umepanick..Chorus,Theme r everywhere

Msg to Kiba..Hii Mwana sijui Dsm umepanick..Chorus,Theme r everywhere

Winnie227

Member
Joined
Jun 21, 2013
Posts
86
Reaction score
41
Ukweli unauma...nasema hivi Talent pekeee haitoshi bila kujipanga...nikiwa kama shabiki wa Ali kiba,huu wimbo wa mwana kachemka..watanzania tuwe wakweli na sio watu wakurupuka tu..Kiba ana vocal za hatari hili halina ubishi ila nyimbo hamna kitu..chorus haina mvuto maneno hajajipanga..in short kapanic..na kama ndo alijichimbia na kutoa nyimbo basi alichemka Game imechange na ndo maana ata ukisikiliza nyimbo ya Fally ipupa kabadilisha style mpaka beat..My opinion ni kwamba Kiba huyu sio sawa na Kimasomaso..Kapanick yani kama huyu ndo competitor wa Dogo Dangoti alipo anacheka tu..kweli Kiba u lacking some Good PR,Management ambayo inajielewa ikupe ushauri,inauma kwasababu sauti yako ni untouchable ila wrong management..ni hayo tu..Naandika hivi ili watu wake wampelekee msg its such a waste of Talent..
 
umelipwa au ni msukumo wako tu umekutuma kuandika hivi au we unafkiri nyimbo ya mdogo mdogo ya vigodoro ina maana gani sasa zaidi ya kuimbwa na watoto
 
Duh Kiba kawafanya mme-panick sana maana sidhani kama target yake alinganishwe na Diamond kwa kiwango hiki kama vipi muacheni dogo afanye yake maana hizi meseji zishakua nyingi sasa kila thread lazima irudi kwenye kuwalinganisha mimi naamini kafanya nyimbo zake kwa target zake muache apenye kwenye soko lake.
 
Hahahahahahahaha! Kesha panic huyo! Mara management mbovu, mara vocal nzuri, tulia wewe acha kutoka povu! Skiza mziki mzuri kwa masikio bora iwe chakula chako...
 
Ukweli unauma...nasema hivi Talent pekeee haitoshi bila kujipanga...nikiwa kama shabiki wa Ali kiba,huu wimbo wa mwana kachemka..watanzania tuwe wakweli na sio watu wakurupuka tu..Kiba ana vocal za hatari hili halina ubishi ila nyimbo hamna kitu..chorus haina mvuto maneno hajajipanga..in short kapanic..na kama ndo alijichimbia na kutoa nyimbo basi alichemka Game imechange na ndo maana ata ukisikiliza nyimbo ya Fally ipupa kabadilisha style mpaka beat..My opinion ni kwamba Kiba huyu sio sawa na Kimasomaso..Kapanick yani kama huyu ndo competitor wa Dogo Dangoti alipo anacheka tu..kweli Kiba u lacking some Good PR,Management ambayo inajielewa ikupe ushauri,inauma kwasababu sauti yako ni untouchable ila wrong management..ni hayo tu..Naandika hivi ili watu wake wampelekee msg its such a waste of Talent..

Pelekeni utumbo wenu huko fb ..sio mnakuja hapa na muchupi imewalegea mnaanza kabwabwaja...
 
Ulitaka acopy naija ndo umsifie?muambieni huyo ndomo wenu mjini watu tunacheza mwana dsm,huo uchafu wake sijui kitorondo apeleke huko kwao tandale
 
Kwi kwi kwi wew ndio UMEPANIC Lol
Sasa nyimbo ya #mwaDSM na Kitorondo au Mdogomdogo ni sawa???!!
 
Rooh by Fadel Shaker.

Here we go, in Arabic, Arabic and in English.

Rooh - Fadel Shaker in Arabic

فاهمني ازاي بتعشها عليا
ما كنت قريب عايش ليا
وكان في الويم بتفكر فيا 3 ايام
خليك مع نفسك لو مش عاجبك
هامشي وانت ذنبك على جنبك

هو انت كنت تطول فهامني ازاي على مين عامل مشغول
هاعملها معك وهاسيبك ما تيلا اطلع من دول
شكلك هتوحشني ياميني يجي يحوشي
انا هامشي مش هاستناك

ده ماكنتش تحلم بس تشوفني ليه بامارة ايه عارفني
عامل ايه اما هنا وياما هناك م العين دي هسيبك قبل العين دي
ويلا بقا السكة الل تودي وشوف مين بعدي فبعدي هيجي ويسال فيك

وكفاية كده عشان جبت اخرها ويلا بناقص خيرها في غيرها
ويوم هتفكر تاني تشوفني هاقول بعينك


Rouh - by Fadel Shaker (Arabic in English Alphabetic)

alamy anthena wa nasena el fat
layaly hawana gamrha al nasyan
hawana la sowt wla sada (x2)

sho jay ta5brny men baed el sar
sho jay ta5brny lama antha el mashwar
sho bady a7kelak , aneya bet7elak
an alby elly sar ala a5er roooooh


rooh habibe rooh shobadak feya ansany atrkny fe hally rooh
ya habibe rooh bekafy jorooh
ana kent nasetak sho elly jabak ala bally (x2)

7aja tarj3ny lal mady elly ra7
madena elly ra7 antasa
5lay habibe al aleb martah
bakfy azab wa 2asa

ya ayash fe roohy tarkny wahed
ma taf2ly jroohy men 2wel wa jaded
ana dae3 men hally nasny al layaly
wa ansany karmally
ya habibe roooooooh

rooh habibe rooh shobadak feya ansany atrkny fe hally rooh
ya habibe rooh bekafy jorooh
ana kent nasetak sho elly jabak ala bally



Rooh - Fadel Shaker English Translation.

GO :
we are over and we forgot the past
our hand got saprate
our love nights are full of forgetness
there's no voice to our love (x2)

what are you coming to tell me after what happened
what are you coming to tell me after our way had finshed
what should i tell you . my eyes will tell you about my heart and it's pain

go ______ go what do you want from me forget me leave me alone go
______ go enough pain . i forgot you what brought you to my mind (x2)

Won't bring me to the past . our past had finished
leave _____ for my heart to relax . that's enough, pain and tears
you left in my soul, you left me alone ,
don't wake my pains. From the beging
iam lost. let me forget the nights
________ go _______ go

go ______ go what do you want from me? forget me leave me alone go
______ I got enough pain . i forgot you what brought you to my mind (x2)

go go go go

Umeua...mkuu..
 
Kiba na huo utumbo wake wa mwana atackilizwa chumbani na wasio jua muziki. Lakini hato pata show kupitia Mwana. Nyimbo mbovu, kama pua kama anakandamizw......... MUA.😱😱😱😛😛
 
bas waTZ wote n wajinga kwasabab kila kona ni MwanaDSM na sio ktorondo.
na kama unamckilzaga vzur Alikiba Kwenye interview zake hana intention ya kushndana na ndomo
 
Kiba na huo utumbo wake wa mwana atackilizwa chumbani na wasio jua muziki. Lakini hato pata show kupitia Mwana. Nyimbo mbovu, kama pua kama anakandamizw......... MUA.😱😱😱😛😛

Waambie ana tuzo mbili sasa..haloooo
 
Ebu iwekeeni hiyo nyimbo ya mwanadar es salaam na siye tuisikilize
 
Mmmh japokua mleta mada kaongea kishabiki lakini kuna ka ukweli hapa!
 
Back
Top Bottom