Mshahara Julai 2022

Mshahara Julai 2022

Issue hapa sio ufaulu. Bakhressa hakupata hata hizo D 2, unataka kusema hana akili?
Tatizo nyie ni la asili, ukishakua tu huko na akili zinaruka
Kisa za mama yako ziliruka kwa hyo ukageneralize!
 
Kwani mwalimu ni yule anayefundisha shule ya kata tu? Wa private au boarding school siyo mwalimu? [emoji23]
Walimu wapo wa aina mbili

Grade 1 na
Popote kambi.

Hapa tunazungumzia hawa wa popote kambi. Au unataka kijifananisha na mwalimu anayefundisha Feza?
 
Walimu wapo wa aina mbili

Grade 1 na
Popote kambi.

Hapa tunazungumzia hawa wa popote kambi. Au unataka kijifananisha na mwalimu anayefundisha Feza?
Kumbe wa feza boys si mwalimu. 😂😂 punguani ni punguani tu. Kisa maza yako alikuwa mwl na haeleweki unahisi ni wote? Hao grade 1 walipta vyuo gani?
 
Kumbe wa feza boys si mwalimu. [emoji23][emoji23] punguani ni punguani tu. Kisa maza yako alikuwa mwl na haeleweki unahisi ni wote? Hao grade 1 walipta vyuo gani?
Wa shule aina ya Feza tunawaita Academicians. Nyie wengine ndio walimu
 
Nimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.

Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?
Mtoa mada ni dhwadhwa, yaani .....,...........???!!!...!!
 
Nimekutana na Mwalimu mmoja mida hii akienda Benki kucheki salio.

Ama kweli kuna watumishi mshahara ni zaidi ya roho zao. Unaachaje kufundisha ili unyatie mshahara ambao taarifa zisizo rasmi ni hadi Jumatatu ya wiki ijayo?
MWALIMU! Huyu ndiye kila mnapotak kutoa mfano mbaya kwa watumishi mnamuona.
Basi sawa

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Walimu wapo wa aina mbili

Grade 1 na
Popote kambi.

Hapa tunazungumzia hawa wa popote kambi. Au unataka kijifananisha na mwalimu anayefundisha Feza?
Ulipotaja Walimu wanaofundisha Feza na kuona wao ni ''So Special'' nikachora mstari kuwa wewe ni fungu la kukosa. Usiniulize kwanini ila jua tu wewe hujui unachokizungumzia.
 
Back
Top Bottom