Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Shoga mbobeziMalofer haya yanajiendea tu kama gari bovu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shoga mbobeziMalofer haya yanajiendea tu kama gari bovu
Kweli mimi nina shida tena sana lakini ualimu hapana! na sitamshauri mtu yeyote ninayemfahamu asomee hyo kitu aisee. No Malice!Watu kama nyie unakuta
Asee!Walimu Walimt*mber
Upo sahihi mkuu, lakini hilo daraja H ni mwalimu anaye karibia kustaafu.Watu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
Watu kama nyie unakuta mnashida hadi mikunduni! Ila mnavyojishaua sasa.😅😅😅😅Watu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
Kibondo walimu ndio matajiri hasa vijijini ndani ndani kabisa huko kama atajiongeza lknMwalimu nenda karipoti ,, Kibondo uanze kazi acha kelele humu
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Uhuuhuhuhu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mpwayungu Village walimu walikufanya nini?
kuna dogo flani nilimuuliza unataka kuja kuwa nani akanambia anataka kuwa mwalimu, nilicheka sana. Matokeo ya 4m4 yametoka kala zero safi kbsa, naona Mungu kamuepusha na laana mapema.
Hata iwe million mbili Sasa hela gn iyo acha ushamba, mliozaliwa familia masikini zenye msoto mnafikili wote ni washamba wa pesaWatu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
Uhuuhuhuhu wafariji tu ila wana maisha ya kisenge sanaMtu akiwa nje ya box,hasira na chuki zinakuw nyingi sabab hajapata chance.Naishi nao walimu wanamaisha mazuri sana ,mishahara+kujiingiza kwenye business most of them wana drive tena sio cheap
Bora niwe niwe muokota makopo ila uwalimu hapana ahseeKweli mimi nina shida tena sana lakini ualimu hapana! na sitamshauri mtu yeyote ninayemfahamu asomee hyo kitu aisee. No Malice!
Siyo uwe mwanamkeBora niwe niwe muokota makopo ila uwalimu hapana ahsee
Tena bado mwaka mmoja au miwili aagane na nyonga, hata hivyo H mshahara wakawaida tu million mbili Kwa Sasa pesa ya kimasikini sana hata kwenda nayo kidimbwi haitoshiUpo sahihi mkuu, lakini hilo daraja H ni mwalimu anaye karibia kustaafu.
AahaaaaaaaaaTena bado mwaka mmoja au miwili aagane na nyonga, hata hivyo H mshahara wakawaida tu million mbili Kwa Sasa pesa ya kimasikini sana hata kwenda nayo kidimbwi haitoshi
Hata kuliwa na nguruwe nipo tayari ila sio ualimu maninaSiyo uwe mwanamke
Na kuliwa na mabasha je upo tayari!?Hata kuliwa na nguruwe nipo tayari ila sio ualimu manina
Nchi ina wenyewe hiiHapo ndo utaelewa ile pesa ya kujikimu ya chuo ni mkopo au bure.
Duh aisee kweli uhuni mwingi laki Saba bado inanyonywa namna hiyoView attachment 2647738
Nahiyo ni CHAKUHAWATA ukiwa CWT tegemea kukombwa pesa ya maana wanaharamu nyie