Mshahara pamoja na makato kwa Mwalimu mwenye Degree

Mshahara pamoja na makato kwa Mwalimu mwenye Degree

Watu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
Upo sahihi mkuu, lakini hilo daraja H ni mwalimu anaye karibia kustaafu.
 
Watu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
Watu kama nyie unakuta mnashida hadi mikunduni! Ila mnavyojishaua sasa.😅😅😅😅
Mkuu shida hizo mi nazitatua niletee tu
 
Watu kama nyie unakuta mna shida hadi mindukuni!ila mnavyojishaua sasa.hivi mwl wa daraja F au H unakunja bei gani unazani.tatizo mnataka utajiri wa haraka haraka kwa virushwa vya kipumbavu na vinaishia baa halafu mnajiona wajanjaa!
Hata iwe million mbili Sasa hela gn iyo acha ushamba, mliozaliwa familia masikini zenye msoto mnafikili wote ni washamba wa pesa
 
Mtu akiwa nje ya box,hasira na chuki zinakuw nyingi sabab hajapata chance.Naishi nao walimu wanamaisha mazuri sana ,mishahara+kujiingiza kwenye business most of them wana drive tena sio cheap
Uhuuhuhuhu wafariji tu ila wana maisha ya kisenge sana
 
Back
Top Bottom