MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Dah! Karibia niseme CHAPUTA..View attachment 2647738
Nahiyo ni CHAKUHAWATA ukiwa CWT tegemea kukombwa pesa ya maana wanaharamu nyie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Karibia niseme CHAPUTA..View attachment 2647738
Nahiyo ni CHAKUHAWATA ukiwa CWT tegemea kukombwa pesa ya maana wanaharamu nyie
Weka na salary slip ya afisa utumishi mwenye degrii!!View attachment 2647738
Nahiyo ni CHAKUHAWATA ukiwa CWT tegemea kukombwa pesa ya maana wanaharamu nyie
Mpwayungu kuwa demu basi nikulambe kTena bado mwaka mmoja au miwili aagane na nyonga, hata hivyo H mshahara wakawaida tu million mbili Kwa Sasa pesa ya kimasikini sana hata kwenda nayo kidimbwi haitoshi
Si afadhari niwe tu dereva wa DFP nijibebee mikaa na Michele barabarani, salary take home laki6 + per diem za wiki tatu au mbili per every month
Mishahara ya waalimu Bado miyeyushoUpo sahihi huwa ni hiyo 530K as take home mpaka 570K kama ana mkopo
Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
Baba wa Taifa alikuwa Mwalimu lakini..Hata iwe million mbili Sasa hela gn iyo acha ushamba, mliozaliwa familia masikini zenye msoto mnafikili wote ni washamba wa pesa
Ana allowance sio chini ya Tatu. Mshahara wa kawaida ila posho zake ni Mara dufu ya mshaharaWeka na salary slip ya afisa utumishi mwenye degrii!!
Mkuu Kuna teja lipo pale post Mpya linaitwa zungu daladala zote za makumbusho zinazopitia shekilango road mpaka posta linapewa buku buku Kwa siku anakunja mpaka 50000 amejenga temeke.Mishahara ya waalimu Bado miyeyusho
Mimi winga wa hapa kkoo . Hiyo pesa nakunja within a week nikiwa serious
Hili ni neno ila maamuz ya kuwa kahaba ni bora zaidi kuliko kuwa mwalimu ahseeKwenye haya maisha ni kumwomba tu Mungu akupe hekima ya kufanya maamuzi sahihi katika wakati sahihi. Kuna watu wana mishahara mikubwa lakini kutokana na maamuzi na vipaumbele vyao mishahara yao huisha fasta na kuishia kutaabika kinyama wakati kuna wengine wana mishahara midogo ila kwasababu ya maamuzi sahihi wanapeta. Hata sisi tunaofanya biashara kinachotumaliza sio mitaji wala nini.. ni maamuzi ya hovyo tu yanatuangamiza. KABLA YA KUMWOMBA MUNGU HELA MWOMBE AKUPE HEKIMA NA UWEZO WA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI.
Never.Mpwayungu Village kumbe hata wewe ni mwalimu
Ualimu ni sehemu ya watu waliotengwa mpaka na muumba wao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si afadhari niwe tu dereva wa DFP nijibebee mikaa na Michele barabarani, salary take home laki6 + per diem za wiki tatu au mbili per every month
Ualimu tupa mbali kama kweli mshahara ndo huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa maafisa utumishi wa halmashauri wana posho gani? Acha upotoshajiAna allowance sio chini ya Tatu. Mshahara wa kawaida ila posho zake ni Mara dufu ya mshahara
Mkuu acha ubishi, tena anachukua pesa za hapa na pale kama za hawa mabwege wanaotaka uhamisho wa haraka, mishahara imesimamishwa, kupanda daraja, recategorization, kufanyiwa connection ya ukuu wa shule, file halionekani inabidi amuhonge afisa utumishi masijala wamtafutie, kwenda masomoni anahonga Kwa afisa, yani kila kitu Kwa siku pesa za ujanja ujanja hawakosi laki mpaka laki mbili ambao ni mshahara wa baadhi ya walimu Kwa mweziHawa maafisa utumishi wa halmashauri wana posho gani? Acha upotoshaji
Mpwayungu Village another teacher in the field. Ajira mpyaNaomba kujua kwa mwalimu mwenye degee anapoanza kazi mshahara wake ni Tsh ngapi na makato ni kiasi gani na take home inakua ni Tsh ngapi?
Hizo siyo posho rasmi za kuzitegemea. Nlikuwa najua wana allowance zinazo eleweka kama majeshini.Mkuu acha ubishi, tena anachukua pesa za hapa na pale kama za hawa mabwege wanaotaka uhamisho wa haraka, mishahara imesimamishwa, kupanda daraja, recategorization, kufanyiwa connection ya ukuu wa shule, file halionekani inabidi amuhonge afisa utumishi masijala wamtafutie, kwenda masomoni anahonga Kwa afisa, yani kila kitu Kwa siku pesa za ujanja ujanja hawakosi laki mpaka laki mbili ambao ni mshahara wa baadhi ya walimu Kwa mwezi
Ndio wanazo kiongoziHizo siyo posho rasmi za kuzitegemea. Nlikuwa najua wana allowance zinazo eleweka kama majeshini.
Mgao kwa kila mmoja ni kiasi gani kwa hao wategemeziAcha kumkatisha tamaa,familia nzima inaenda kupona hapo.
Cha msingi asiingie cwt,ajiunge chakuhawata aokoe pesa kiasi.
Ajira ya ualimu imebeba zaidi ya watumishi laki mbili,nyuma ya kila mtumishi kuna wategemezi zaidi ya kumi.
Hivyo ni idadi kubwa ya watanzania wanaenda kufaidika kupitia wachache.Kuhusu ugumu wa maisha kila mtu ashinde mechi zake