Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali inahitaji watumishi waongeze ufanisi ili kuboresha maslahi na watumishi wanahitahi kuboreshewa maslahi ili waongeze ufanisi kwa hiyo tupo kwenye mkwamoVitu vimepanda bei
PoleniNdo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri[emoji377][emoji377]
Duh,wanaingiza kwa mafungu ama? Maana wengine bado kabisaNi kweli Mkuu mie mwenyewe nimeona sms hapa muda mfupi uliopita hakuna nyongeza yoyote
Unasema kweli chief??Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
Kama hela zote anapeleka Zanzibar, hizo za kuwaongeza watanganyika zitakuwepo!?!Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
Nimeelewa vema SanaKwenye suala la mishahara ya watumishi Jiwe Magufuli alikuwa mkweli na muwazi. Yeye alisema HANA HELA ya kuongea mishahara bali ana hela ya kujenga miundombinu ambayo baadae itazalisha hela nyingi ndio aongeze mishahara. Mama akaja akatuhaidi "pekeji"! Pekeji yenyewe Sasa!!! Ahahahahaha!!!!
Ahsante!👍👍👍👍Nimeelewa vema Sana