Mshahara umetoka hakuna incriment hakuna nyongeza!

Mshahara umetoka hakuna incriment hakuna nyongeza!

Kwanza unaonekana umeajiriwa miaka ya karibuni! Mimi binafsi nimefanyiwa hivyo mara nyingi. Mwezi wangu wa increment ni May hivyo nasubiri hadi May mwakani.

Jiwe aliposimamisha increment bahati nzuri nilikuwa nimefika bar yaani ukomo wa nyongeza hivyo sikuathirika na nyongeza bali kupanda cheo!
Acha uongo wewe, mikataba ya ajira ya watumishi wa umma imeweka bayana kwamba, there will be annual increment in every 1st July.
 
watumishi wote piteni hapa, huyu maza tumfanyeje?? tukubaliane hapa kabsa!
To me: huyu 2025 asitoboe, kampeni ianze nyumba kwa nyumba, ofisi kwa ofisi. hatutaki ujinga aiseee.
 
Hivi bado mnamuona huyu bibi ana hela za kuwa ongezea mshahara?..

Kumbuka dola sasa dola 1 ni 2,600
 
Jugador_2023

Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
kwanza nianze na hili kabla sijasahau you deserve a special KLMY

Mbili, Tumejaza mikataba ya ajira ambayo ina-state wazi kuwa annual increment ni 1/July.

Hii yako ya tarehe ya ajira umeitoa wapi?? kwenye mkataba upi??

Huyu maza tumkabili mchana kweupe
 
Serikali inahitaji watumishi waongeze ufanisi ili kuboresha maslahi na watumishi wanahitahi kuboreshewa maslahi ili waongeze ufanisi kwa hiyo tupo kwenye mkwamo
Ufanisi hauongezwi na Mishahara.


Ufanisi unaongezwa kwa uwekezaji.


Mpe huyo mfanyakazi nyumba, Usafiri, gharama za kazi halafu dai ufanisi.

Labda Kama unataka huo Mshahara wake wote autumie kufanya kazi za serikali tena.
 
Mabadiliko ya increment hua ni November na sio July. Kwa uhakika zaidi jrbn kuangalia salary slip ya October 2017 na November 2017. Mtaamini ninachokisema

Asanteni
 
kwanza nianze na hili kabla sijasahau you deserve a special KLMY

Mbili, Tumejaza mikataba ya ajira ambayo ina-state wazi kuwa annual increment ni 1/July.

Hii yako ya tarehe ya ajira umeitoa wapi?? kwenye mkataba upi??

Huyu maza tumkabili mchana kweupe
What's KLMY?

1/July ni mwanzo wa fiscal year hivyo budget ya mishahara huanzia hapo. Kwa hiyo kama uliajiriwa January mwaka huu haina maana July mwaka huu utapata increment bali increment yako itazingatiwa katika budget ya kuanzia July na itakapofika January mwakani utaipata kwa kuwa imo ndani ya budget.
 

"incriment" ndio nini mkuu. Hata ningekuwa mimi ndio muongeza mishaha nisingekuongeza wewe kwa kuwa unaonekana mweupe kichwani. Hatuna neno "incriment" sijui umelitoa wapi​

Ujuaji mwingi hakuna kitu kichwani sasa wewe na yeye si inaonekana mko level moja ya ujinga "MISHAHA" ndio nini??
Tanganyika yangu jamani kila mjinga ujiona ni msomi dah!!
 
Jugador_2023

Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Tanganyika kila mtu ni mjuaji na msomi
 
Jugador_2023

Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Asante sikujua hivyo
 
watumishi wote piteni hapa, huyu maza tumfanyeje?? tukubaliane hapa kabsa!
To me: huyu 2025 asitoboe, kampeni ianze nyumba kwa nyumba, ofisi kwa ofisi. hatutaki ujinga aiseee.
Wanategemea kura basi
 
Back
Top Bottom