Mshahara umetoka hakuna incriment hakuna nyongeza!

Mshahara umetoka hakuna incriment hakuna nyongeza!

Vitu vimepanda bei

Huwezi kupandisha pay kwa sababu ya cost of living pekee, huyo mtu ni productive au garbage? Baada ya hapo ndio unaangalia gharama ya maisha baada ya kuona tija!


Sisi tunataka salary kubwa, kuna tija au watu wanachati tu online na kuendeleza vi rushwa na uvivu?
 
Jugador_2023

Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
[emoji16][emoji16] hakuna unachokijua Bora ungekaa kimyaa
 

"incriment" ndio nini mkuu. Hata ningekuwa mimi ndio muongeza mishaha nisingekuongeza wewe kwa kuwa unaonekana mweupe kichwani. Hatuna neno "incriment" sijui umelitoa wapi​

Nawe Hilo neno mishaha linamaanisha Nini? Au ndio Yale ya nyani haoni ........ ?
 
Back
Top Bottom