Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Angeongeza bado mngelaumu wajinga nyieHuyo Bibi yenu hana pesa zozote zile kelele tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angeongeza bado mngelaumu wajinga nyieHuyo Bibi yenu hana pesa zozote zile kelele tu
Kwani mmeongeza uchapa kazi?
[emoji23][emoji23] hatari snUkiona hujaongezewa salary muone Mwabukusi aku add DPW
Kwani vimepanda bei Kwa Watumishi tuu? 😂😂Vitu vimepanda bei
😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😆😆😆😆Ukiona hujaongezewa salary muone Mwabukusi aku add DPW
Vitu vimepanda bei
Ila wabunge wa Dubai Port world wa fresh?Hayatoshi kuhalalisha uongezwaji wa mshahara kwa kada zote, watumishi waendelee kujifunga mkanda, increment zipo tu zitakuja baadaye, siku zote mvumilivu ndio hula mbivu
[emoji16][emoji16] hakuna unachokijua Bora ungekaa kimyaaJugador_2023
Annual increment kuanzia July 2023 haikumaanisha kuwa watumishi wote watapata tarehe hiyo bali kila mtumishi ana tarehe yake ya hiyo annual increment. Mfano kama uliajiriwa tarehe 1 January 2020 basi annual increment yako itakuwa tarehe 1 January 2024 na hivyo mabadiliko utayaona mshahara wa January 2024 na kama uliajiriwa tarehe 1 July 2020 annual increment yako ni tarehe 1 July 2023 na mabadiliko utayaona mshahara wa mwezi huu wa July. Huo ndiyo utaratibu usiwe na papara.
Mpumbavu![emoji16][emoji16] hakuna unachokijua Bora ungekaa kimyaa
Nawe Hilo neno mishaha linamaanisha Nini? Au ndio Yale ya nyani haoni ........ ?"incriment" ndio nini mkuu. Hata ningekuwa mimi ndio muongeza mishaha nisingekuongeza wewe kwa kuwa unaonekana mweupe kichwani. Hatuna neno "incriment" sijui umelitoa wapi
Kila mbuzi inakula kwa urefu wa kamba yake wao kamba inafika mpaka Dubai🐒Ila wabunge wa Dubai Port world wa fresh?
Hayawani....popobawaPumbavu!
Ona nguruwe hili!Hayawani....popobawa
Juwa slothOna nguruwe hili!
Bila shaka utakuwa umekosa mtu wa kukupumulia kisogo!Juwa sloth
Kwa hiyo unataka kusema mama ni kiungo Kashata, yaani kiungo muongo muongo😀Ndo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
Mama kaupiga mwingi sanaNdo hivyo yaani kama walivyosema tutawaongeza kimya kimya tusubiri🚬🚬
Matope inaongeza nini uji au?Angeongeza bado mngelaumu wajinga nyie