Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Huo mshara wa M30 kwa mwezi ni mkubwa lakini sio kusema ni mshahara NOMA SANA
Ni mshahara wa kawaida sana kwa CEOs nashangaa huyu dogo amepagawa nini? Almost CEOs wengi wanakula hapo kwa mwezi plus marupurupu mengine. Hakuna.cha ajabu kwa level yake tena kwa UN bado wa kawaida sana
 
Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Ni nyingi kama anaishi Tanzania, nchi za wenzetu ni pesa ndogo ya kulipa bills tuu, toa 30% tax kwanza, nyumba itakuwa karibu 40,000 Kwa mwaka, anaweza asibaki na kitu mwisho wa mwaka, Kwa US huo ni mshahara wa dereva wa lori anayejituma
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?


Inategemea. Naweza ingiza mimba 200 mpaka 300 kwa mwaka. Inategemeana tu na mademu naowapata.
 
Dah
Kuna kitu wanaita post adjustment ambayo kila mtumishi wa WHO anapata. Post Adjustment ya Kituo cha kazi cha huyu mhe ni around 60% ya kipato chake kila mwezi, pia watoto watasomeshwa bure internl schl, bima bure, safari za Europe za kumwaga na posho kadhaa. kwa ufupi kipato cha jamaa jumla ukijumuisha na posho kitakuwa around USD 245,000 kwa mwaka. Zaidi ana Bajeti iliyonona. Hivyo mwenzetu katoboa ukilinganisha na Ubunge, tumpongeze.

Ila Tafsiri ya ukubwa wa kipato inategemea na hadhi, mtazamo na mazingira aliyopo mtu. Hivyo wanaosema ni kawaida au kikubwa wote wapo sahihi. Ila kwa mazingira ya Africa huyu jamaa anapata pesa ndefu sana ila hauwezi kulinganisha na fedha wanazopata watendaji wakuu katika Serikali nyingi za Kiafrika, yupo chini yao kwani kipato cha Miamba wa Afrika huwa hakitegemei mshahara bali mitikasi. Kuna watu mshahara ni 6.5 milioni kwa mwezi lakini kila mwezi anaingiza hadi 1B kupitia 10%.

Hongera sana Mhe umetoboa, ila uwakumbuke vijana wakibongo kwani WHO ina project nyingi za maana na ina fursa za kumwaga za ajira za mikataba ya muda mfupi. Usiwe na Roho mbaya kama walivyo watanzania wenye wadhifa kama huo nje ya nchi.

Mungu akutangulie.
 
Kwa mwaka mbona sasa ni hela ndogo.

Huo ni mshara wa mchezaji wa mpira wa ulaya wa kiwango cha kawaida kwa week moja
Mimi nilidhani kwa mwezi 😂
Lakini hizo mil 340 kwa mwaka ni sawa na karibu milioni 23 kwa mwezi !
Bado na marupurupu !
Zinatosha !
Wabongo kila mtu anafikiria pesa mingi badala kwanza kuzungumzia nini ufanisi wa kazi yake utakavyokuwa 😳
Ndio maana kila mtu anafikiria Upigaji tu mahali pake pa Kazi 😆
Au nasema uongo ndugu zanguni ???!! 🙄
 
Kama unafatilia mpira wa Ulaya Hizo hela ndogo sanaaa wachezaji wababaishaji wanalipwa hizo kwa week.
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Utakuwa umeangalia website fake wewe! US$ 134000 kwa mwaka mbona mshahara wa Afisa wa ngazi ya chini kwenye UN system hapa nchini. Rudi tena uangalie vizuri.
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Umesahau na benefits yeye na familia yake . Watoto zake wote na mke wakiumwa matibabu ni kwenye developed country , kusomeshwa kwenye developed country kama UK Au USA , , safari za likizo . Kuna lots of benefits

Kwa nafasi hiyo apambane kuwalink watanzania na fursa za kuajiriwa huko
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Mbona pesa ndogo sana hizo?
 
Back
Top Bottom