Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Mshahara wa Dkt. Ndugulile akishaanza kazi WHO ni noma. Rais wa India akasome

Salary scale for the Professional and higher categories:
Annual gross salaries and net equivalents after application of staff assessment
In US dollars - effective 1 January 2023

Mhe anapa kati ya ASG na D-2
USG - Gross 212,632
Net - USD 155,837
ASG - USD Gross 193,080
Net - USD 142,933
D-2 - USD Gross 154,212
Note: ASG ni Assistance Secretary General

Hapo haijajumisha Post Adjustment ambapo kwa kituo chake ni around 60% ya Mshahara wake
 
Huo mshahara ni noma? Mbona wa kawaida Sana

NB; mm Sina huo mshahara, Ila huo sio sahihi kusema ni mshahara mnono kulinganisha na nafasi yake. Bongo wapo wakurugenzi wa taasisi wanachukua kama huo. Hata diplomats wetu wanachukua kama huo
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Mbona kawaida sana
 
Uchumi wetu ndio unafanya hiyo hela iwe nyingi ila kwa mfano kenya hiyo ni kama 1.5mKsh kwa mwezi
Wakati kenya kuna watu wa kawaida kwenye biashara wanalaza 5mKsh kwa mwezi
 
Habari za asubuhi wanajamvi

Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake

Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.


Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.

Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Nikajua B moja kwa mwaka, kumbe m. 360 tu. Kidogo sana kwa mwaka mzima kwa hicho cheo.
 
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Kwa anazo ingiza Lucas Mwashamba hizi mbona kidogo sana?
 
Back
Top Bottom