Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Hela ndogo sana hiyo japo Sina ni sawa na karibu Tsh. 1.5 Bilioni kwa five years labda kama Kuna benefit nyingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugulile mwenyewe alieomba hio kazi kakubali terms ila wewe ambae kuna uwezekano mkubwa hio30m kwa mwaka hupati unasema ni ndogo.Watu wana vichwa vigumu kuelewa.... Mshahara wa milioni 30 kwa mwezi ni mkubwa sana kwa mtanzania wa kawaida...
Mshahara wa milioni 30 kwa MTU km Dungulile ni mdogo.....
Hii ni concept ndogo ila watu wanachanganya mafaili kichwani.
Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Waziri mkuu wa India siyo mkuu wa nchi,ni mkuu wa serikali.Mkuu wa nchi(state) au dola la India ni rais.Shangaa India ambaye ni Giant kiuchumi mkuu wake wa nchi ameachwa mbali sana mara mbili na ushee ila niamini mimi Hiyo pesa bado ndogo sana kwa mzigo anauchukua mama ushungi.
Kwa hiyo anakazi ngumu kuliko mwalimu anayelipwa laki 5?Kwa cheo chake na majukumu yote hiyo hela ni ndogo mno sawa na mwalimu wa sekondar anayelipwa laki 5
What?Watu wana vichwa vigumu kuelewa.... Mshahara wa milioni 30 kwa mwezi ni mkubwa sana kwa mtanzania wa kawaida...
Mshahara wa milioni 30 kwa MTU km Dungulile ni mdogo.....
Hii ni concept ndogo ila watu wanachanganya mafaili kichwani.
Mkuu sasa kwa mtu km Dungulile alikua waziri + mbunge so kwa kukadilia alikua analamba milioni 30+ kwa mwezi,sasa kupata hiyo milion 30 huko WHO ina maajabu Gani?What?
Mshahara wa shilingi milioni 30 kwa mwezi ni mdogo kwa huyo Ndugulile?
Wow!
Wabongo wanawaza hela tu badala ya UfanisiHabari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Huh? Hiyo ni kweli au ni makisio ya vijiweni tu?Mkuu sasa kwa mtu km Dungulile alikua waziri + mbunge so kwa kukadilia alikua analamba milioni 30+ kwa mwezi,sasa kupata hiyo milion 30 huko WHO ina maajabu Gani?
Ndogo sana hiyo wastani wa milioni 30 kwa mwezi,MD wa Vodacom unajya analipwa ngapiMilioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Kuna vitu akili yangu ilishagoma kuelewa, ni pamoja na hiki sasa 🤣Waziri mkuu wa India siyo mkuu wa nchi,ni mkuu wa serikali.Mkuu wa nchi(state) au dola la India ni rais.
Azizi k milion 50 , ulaya mbona mbali ata golikipaa wa AzamKwa mwaka mbona sasa ni hela ndogo.
Huo ni mshara wa mchezaji wa mpira wa ulaya wa kiwango cha kawaida kwa week moja
hii ni hela ndogo sana kwa nchi zilizoendelea. ya mtu wa kawaida.Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?