Mbona kawaida sanaHabari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Nikajua B moja kwa mwaka, kumbe m. 360 tu. Kidogo sana kwa mwaka mzima kwa hicho cheo.Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Hata mimi nilishangaa sana. Milioni 360 kwa mwaka? WHO?Kwa mwaka mbona sasa ni hela ndogo.
Huo ni mshara wa mchezaji wa mpira wa ulaya wa kiwango cha kawaida kwa week moja
Hela ndogo kwa scope anayoitumia, mbona hiyo hapa Tz wengi wanapiga mpunga huo. Mshahara tena.Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Kwa anazo ingiza Lucas Mwashamba hizi mbona kidogo sana?Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Kwa mshahara uongoHela ndogo kwa scope anayoitumia, mbona hiyo hapa Tz wengi wanapiga mpunga huo. Mshahara tena.
Sawa ni uongo. Kila mtu abaki na taarifa zake.Kwa mshahara uongo
Hakukuweko na Ma - CEO wa mashirika ya Umma waliokuwa wanalipwa milioni 36 kwa mwezi "enzi" za Magu?Kwa mshahara uongo
Zile stori tu za mzee kutaka kshughulika na asiowapendaHakukuweko na Ma - CEO wa mashirika ya Umma waliokuwa wanalipwa milioni 36 kwa mwezi "enzi" za Magu?