njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Ndani ya mwezi mmoja tu umechakaza kila sehemu, ukistaafu je?Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Huu uzi mara nyingi utauona unakua updated kuanzia tarehe 20 hivi mpaka 27 baada ya hapo wale wale waliokua wanalia lia hapa wanahamia kula kimasihara na uzi wa pombe mbali mblai wa mshana ikifika tarehe 10-17 hivi haooo wanahamia kwenye siasa wanatoa hasira zao weeee ukichanganya na kufulia sasa wanakua wakali wakali tuuu
Mambo SI mambo?? Mshaishiwa mmerudi kwenye Uzi, mkishalipwa haooo..mpaka trh 20 tenaVipi jamani mambo yakoje uko CRDB na NMB?
Ndio zetu mkuu huu uzi inabidi uwe hai mpaka ninapostaafu.Mambo SI mambo?? Mshaishiwa mmerudi kwenye Uzi, mkishalipwa haooo..mpaka trh 20 tena
Akistaafu atakuwa na malundo, hataangaika kukopa kilo ya Michele kwa mangi tena.Ndani ya mwezi mmoja tu umechakaza kila sehemu, ukistaafu je?
Hayo malundo yanadumu kuyahodhi kwa muda gani?Akistaafu atakuwa na malundo, hataangaika kukopa kilo ya Michele kwa mangi tena.
Tatizo itaangukia weekendMbona tarehe 23 bado!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa ni pesa mkuu.Mambo SI mambo?? Mshaishiwa mmerudi kwenye Uzi, mkishalipwa haooo..mpaka trh 20 tena
Kwa utaratibu wa sasa pamoja na malundo atakuwa anapokea kila mwezi kwa muda wa miaka 12.Hayo malundo yanadumu kuyahodhi kwa muda gani?
Nimecheka sana πππHuu uzi mara nyingi utauona unakua updated kuanzia tarehe 20 hivi mpaka 27 baada ya hapo wale wale waliokua wanalia lia hapa wanahamia kula kimasihara na uzi wa pombe mbali mblai wa mshana ikifika tarehe 10-17 hivi haooo wanahamia kwenye siasa wanatoa hasira zao weeee ukichanganya na kufulia sasa wanakua wakali wakali tuuu π π
Mbona kwangu badoTayari
Wanaweza kutusubirisha hadi j3 nnWeekend inachelewa kuanza kwelikweli.
Kazi tunapiga. Wao watulipeChapeni kaziiiiiii