Ukute kafanyiwa muamala na MDAU,kaa ki_master?Yeah wamewekewa muda siyo mrefu. Nimeona kwa wife hapa
Ila kweli, otherwise tutaanzisha uzi mpya kila tar 20.Moderators hii mada badilisheni kichwa cha habari kisomeke Tu mbona mshahara unachelewa ondoeni Mwezi ili hicho kichwa kiwe relevant all the times
😂😂😂 Tar 2 linapark.Kuna gari la poti mmoja nimepishana nalo njiani itakua mshahara ushaanza kuingia mana lile gari linaendeshwa tar za mshahara tu
Jau sanaWeek end ishakuwa ndefu
Mechi za saa 10 zitatusogeza hadi saa 4.Week end ishakuwa ndefu
Salio la kuangalia Salio limeisha.
ila walimu 😅😅😅😅😅😅Mimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Pepmis umejaza?Salio la kuangalia Salio limeisha.
Kupitia app hawakati hela ukiangalia salioSalio la kuangalia Salio limeisha.
Muhimu. Zote 90%Pepmis umejaza?
Haya maisha dahKupitia app hawakati hela ukiangalia salio
GoodMuhimu. Zote 90%
Sorry kwa kukuuliza..Kupitia app hawakati hela ukiangalia salio
Unamaanisha nini AIO?Sorry kwa kukuuliza..
Ww ni AIO?
Leo utalala na viatuKesho jmos namaliza. Liwalo na liwe
Aeronautical Information Officer..Unamaanisha nini AIO?
Kama wife wako amepata si unakuwa na wewe umepata kiongozi sababu 1+ 1= 1.Yeah wamewekewa muda siyo mrefu. Nimeona kwa wife hapa