4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
TRA wanauwa biashara za watu ,Hakuna umasikini na laana mbaya kwenye maisha kama kuishi kwa kutegemea mshahara tu. Ni utumwa wa kisasa ambao ukichelewa kuustukia unakuwa katika hali mbaya sana baadae.