Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Kwa taarifa nilizopata ni kwamba, mwezi huu serikali haina hela kwahiyo malipo ya mshahara tegemeeni kuanzia tar 25 na kuendelea baada ya serikali kuwa imekusanyakusanya
 
Hebu niekeze mkuu ikiwezeknq hata mwka huu aanze
Oh.. kwa upande wa Tz hapa it's better kwenda hapo TPTC then wanakupa utaratibu wao kulingana na standards zao..

Ni Terminal 1 hapo.. JNIA. ukiw unaingia ni upande wa kulia utaona majengo.. ni pemben ya NIT Flying Academy.
20231221_064558.jpg


Ukizoom picha vzr upande wa kulia zimefatana flying academies..
 
Huu uzi mara nyingi utauona unakua updated kuanzia tarehe 20 hivi mpaka 27 baada ya hapo wale wale waliokua wanalia lia hapa wanahamia kula kimasihara na uzi wa pombe mbali mblai wa mshana ikifika tarehe 10-17 hivi haooo wanahamia kwenye siasa wanatoa hasira zao weeee ukichanganya na kufulia sasa wanakua wakali wakali tuuu 😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom