[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna gari la poti mmoja nimepishana nalo njiani itakua mshahara ushaanza kuingia mana lile gari linaendeshwa tar za mshahara tu
Watu wataanza kusumbua bar.Week end ishakuwa ndefu
Sisi wa Tamisemi bado hatujalipwa mkuu. Ingawa hata cha wife ni cha wote piaKama wife wako amepata si unakuwa na wewe umepata kiongozi sababu 1+ 1= 1.
😂😂😂Jau sana
Mbona upo likizo mwalimuMimi ni mwalimu unategemea nafundisha vipi kama mshahara sipati Kwa wakati afu wataka tufaulishe vipi watoto?
Mpaka saizi saa saba kasoro mshahara bado na watu tuna majukumu. Watoto Nina mke na wazazi wananitegemea kila mwezi mshahara unachelewa tu afu wataka tusikope Kwa mangi?
Kama ndo hivyo kazi hii kwangu itakuwa ngumu saana siwezi fundisha nikiwa na njaa
Hahaha, watu wakipata pesa wanakula wenzao kimasikhara! Wawe wanaanza na Wafanyakazi wa bank au wanaogopa kuacha ATM huko.Soon Uzi unatelekezwa.... Watu wanahamia kimasihara
Bado hadi j3 na j4Soon Uzi unatelekezwa.... Watu wanahamia kimasihara
Hapana ni Aeronautical EngineerAeronautical Information Officer..
Maana nipo ktk sekta ya Anga nilivyoona Aeronautical ikbd niulize.
Pmj..🤙Hapana ni Aeronautical Engineer
Samahani kidogo Gentlemen_ kila nikitaka kukuuliza huwa nasahau..Aeronautical Information Officer..
Maana nipo ktk sekta ya Anga nilivyoona Aeronautical ikbd niulize.
Bado tupo.. Kesho kutwa ndio tunaufunga rasmiTayari uzi umetelekezwa, au mmekata tamaa kwa vile leo Jumapili!
Kwa Tanzania ni NIT ila wanaendesha training center yao pale JNIA terminal 1 , hata CATC wanatoa kozi endelevu miaka ya nyuma .Samahani kidogo Gentlemen_ kila nikitaka kukuuliza huwa nasahau..
Mwanangu Anataka Kwenda kusomea Urubani chuo gani Ni bora kwake kwa Tz..
Ada zake ni Tsh ngapi?
Na qualification zake zikoje..
Na ngazi ya Elimu zikoje..
Samahani kwa maswali mengi
Yeah ila Nasikia CATC Kuna tatizo licha ya kozi nyingi kutokuwepo Pia walimu hawako Serious na ufundishaji..Kwa Tanzania ni NIT ila wanaendesha training center yao pale JNIA terminal 1 , hata CATC wanatoa kozi endelevu miaka ya nyuma .
JUzi nilimsikia Mr. Aristid kanj akisema CATC imejipanga kuongeza kozi mpya , kumbuka CATC vyeti vyao ni vya kimataifa vinatolewa kwa muongozo wa ICAO.
Samahani kidogo Gentlemen_ kila nikitaka kukuuliza huwa nasahau..
Mwanangu Anataka Kwenda kusomea Urubani chuo gani Ni bora kwake kwa Tz..
Ada zake ni Tsh ngapi?
Na qualification zake zikoje..
Na ngazi ya Elimu zikoje..
Samahani kwa maswali mengi
Yeye Kamaliza Form six Mwaka Huu, Ila naona kabisa Hapa matokeo yake hayatakuwa mazuri ila Alisoma PCB..(sijui kwanini watoto wanaotoka O level wamefanya vizuri wakifika Advance wanaharibu)..Bila samahani, Binafsi nimesoma SA ktk Flying academy ya 43 Airschool..
Kwa Tanzania Chuo cha TPTC (Tanzania Pilot Training Center) nafkir kipo poa kuna jamaa zangu wamemaliza hapo... nitafatilia kuuliza Ada kwa hicho chuo nitakufahamisha.
Qualifications kwa course za Urubani inategemea..
Hata akifika form 6 inatosha sana ingaw masomo ya sayansi awe amesoma na kufaulu vzr.
Qualifications zingine ni za kiafya.. ili upate leseni lazima ufanyiwe vipimo.
Kumbuka kuna leseni nyingi ambayo ya awali ni SPL. (Student Pilot License) ambapo ktk vipimo anatakiw awe na MEDICAL CERTIFICATE CLASS 2 ambayo atakuw nayo pia akiwa na PPL.. baadae atahamia ktk medical Class 1 akipata CPL.
anatakiw asiwe na changamoto za kiafya ambazo zitasababisha utunzaji wake wa kazi ukawa na mashaka.
Vitu vingine ni vya kawaida.. apart from kusoma kuna Mitihani ya leseni ambayo anatakiw akaze hasa maana mhh..
Pia kuna flight simulations, kuna License exams ambazo zinafanyik TCAA pia kuna Practical exams ambazo zinafanyik na Chuo pia na Inspector ambaye atarecommend leseni ya mtahiniwa..
Mambo ni mengi ila kwa uchache ni hayo..
Maswala ya finance at least ujipange....ila exactly figure kukupa ni mtihan mfan vyuo vingi vinachaj kwa dola hata leseni nakumbuka last time nimehuisha lesen yangu nimelipa kwa dola.. na kama unavyojua dola kila siku inapaa..
Mock Huwa inasahihishwa vibaya ndani ya wiki wawe wamemaliza Kwa malipo kiduchu. Kama mwanao ana mwandiko wa kidokta atapigwa mikasi tu.Yeye Kamaliza Form six Mwaka Huu, Ila naona kabisa Hapa matokeo yake hayatakuwa mazuri ila Alisoma PCB..(sijui kwanini watoto wanaotoka O level wamefanya vizuri wakifika Advance wanaharibu)..
Ila mitihani yake ya mwisho kabla ya Necta haikuwa Mizuri...(Kwahyo nahisi amaweza asifanye Vizuri)
Kwa changamto ya kiafya hana kwa kweli
ok Sawa itabdii nifatilia kwakweli sana
Haina shida hata huko O level anawez tumia matokeo hayo..Yeye Kamaliza Form six Mwaka Huu, Ila naona kabisa Hapa matokeo yake hayatakuwa mazuri ila Alisoma PCB..(sijui kwanini watoto wanaotoka O level wamefanya vizuri wakifika Advance wanaharibu)..
Ila mitihani yake ya mwisho kabla ya Necta haikuwa Mizuri...(Kwahyo nahisi amaweza asifanye Vizuri)
Kwa changamto ya kiafya hana kwa kweli
ok Sawa itabdii nifatilia kwakweli sana
Hebu niekeze mkuu ikiwezeknq hata mwka huu aanzeHaina shida hata huko O level anawez tumia matokeo hayo..
Kwanza Marubani wengi hawana hata A level.. wengine waliosoma chuo kikuu wachache sana...
Usiwe na wasi.