Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Changamka acha kuwa slow na kutegemea kazi za serikalini. Vijana wa siku hizi wapo slow sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…