Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
Wenye NMB vipi mbona jirani anashangilia ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayari bwanaI can confirm that, hadi sasa 6:42 PM, mshahara haujaingia.
Acheni maskhara basiHatimae....
Nmb
SawaHapana.. kuna utofauti mkubwa.
Hatimae....
Nmb
CRDB badoHatimae....
Nmb
CRDB mzigo dryTayari bwana
Nmb vp?CRDB mzigo dry
Me natumia CRDB mzigo unasoma nil.Nmb vp?
Hoya nmb tayar kweli?Hatimae....
Nmb
Kote kote nmb na crdb?Bila bila.
Changamka acha kuwa slow na kutegemea kazi za serikalini. Vijana wa siku hizi wapo slow sanaVipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Bado mi crdbCRDB bado
Nahisi ndo inakuaga YA mwishoCRDB bado
Mkuu nimechoka bia nimeagiza hanschoice kesho kikao saa nne na nauli sina!CRDB mzigo dry
Unamanisha Nini?Tukubaliane Uzi ufungwe tukutane tena tarehe 20/7. Ikifika tupeane taarifa tafadhali.