Mkuu kama ni NMB pita ucheki, usiongeze deni.Kwa leo naona siku imeisha tuone kesho...Ngoja nipite kwa mangi kukopa mchele hamna namna
🤣Mkuu nimechoka bia nimeagiza hanschoice kesho kikao saa nne na nauli sina!
Tayar?Mkuu kama ni NMB pita ucheki, usiongeze deni.
Tayari na mshahara umebadilika.Tayar?
Tunaheshimiana sana na ww mkuu. Naomba nihakukikishie tafadhali.Kituuuuuu....
Kaka najua hauwezi kunidanganya. Ebu sema neno.Bilabila
Masta? Vipi?Saa saba kamili mambo bado
Hahahaha Kuna mwingine kanichekesha sana asubuni jamaa anasema "mshara bado haujatoka na natakiwa niende mjini, sasa sijui niende mjini mshahara utaenda kunikutia huko huko"Watuwanaenda kuzurula lakini sukio kwenye sms
Tayari Mkuu imesoma kwangu benki ya makabwela NMB .... Lakini benki zingine naona Bado hasa CRDB nnao wafahamu Bado ... Kesho haivuki....Tunaheshimiana sana na ww mkuu. Naomba nihakukikishie tafadhali.
Hadi sahivi crdb bila bilaMasta? Vipi?
Pamoja. Ngoja tusubirie basi. Sio mbaya leo uhakika wa kula upo.Tayari Mkuu imesoma kwangu benki ya makabwela NMB .... Lakini benki zingine naona Bado hasa CRDB nnao wafahamu Bado ... Kesho haivuki....
Tusubiri kidogo. Mtoto wa Nzi ameconfirm NMB so soon CRDB tunaitwa maswahiba.Hadi sahivi crdb bila bila
Nimeagiza kinywaji baridi na kuku nipoze koo kidogoKaka najua hauwezi kunidanganya. Ebu sema neno.
Upe mwili poleNimeagiza kinywaji baridi na kuku nipoze koo kidogo
Pamoja mzeeNimeagiza kinywaji baridi na kuku nipoze koo kidogo