Tukutane tar 22 July kudai nyongezaUpe mwili pole
Tukutane tar 22 July kuhoji nyongeza nayoPamoja mzee
Wamepandisha Madaraja??Tayari na mshahara umebadilika.
Unataka kuondoka wakati wengine bado? Msaliti?Tukutane tar 22 July kudai nyongeza
Mkuu, usiwe unapoteza nguvu kubishana na watu kama wale. Wengi ni loosers. Achana nao.Wale wa mshahara unatakiwa utoke tarehe 30 hapa ni wapi, hizi hela kwenye account yangu ni mshahara au matakor Yako!!!
Mimi niko private sector. Sina tarehe maalum kuanzia 23 kabla ya 28 huwa nalipwa. Hapa nazungumza niko lodge nakula per diem, hata haraka ya mshahara sina!!!!πππKikubwa anonymity inatubeba. Wanaotudhiaki ma jobless usiwaze man
Wenda hii kweli ,wapangaji wangu ni wafanyakazi mpaka saa nne usiku jana walikua wanaulizana kwa kulalamika sana, huko hazina wenda mambo mwezi huu sio mambo , hii ya mishahara kutoka kwa mafungu wenda ipo shida mahalaImetoka nusu. Wengine bado
Mpaka keshoππCRDB mpaka muda huu 06:26 Alfajiri bado bila bila
Hayo ndio maisha sasa.Mimi niko private sector. Sina tarehe maalum kuanzia 23 kabla ya 28 huwa nalipwa. Hapa nazungumza niko lodge nakula per diem, hata haraka ya mshahara sina!!!!πππ
Sure. Sijui tumewakosea nn. Ila haivuki 10am.Crdb bilabila
Oya NMB mmepata unaanza mbwembwe. Imagine bank kama NBC.Mpaka keshoππ
Tusubirie kidogo.CRDB mpaka muda huu 06:26 Alfajiri bado bila bila
Sio kidogo subirini sana muda kama wenzenu wa NMB walipo pata. Halafu hata huko NMB sio wote wamepata hii ni dalili ya kitu gani ChoiceVariable ? KiuchumiTusubirie kidogo.
Mbona wengine CRDB jana saa tatu ilikuwa tayari.CRDB mpaka muda huu 06:26 Alfajiri bado bila bila
Hakuna kitu chochoteSio kidogo subirini sana muda kama wenzenu wa NMB walipo pata. Halafu hata huko NMB sio wote wamepata hii ni dalili ya kitu gani ChoiceVariable ? Kiuchumi
Sio kwamba kibubu kinachechemea?Hakuna kitu chochote