Hatuna pengine pa kupatia. Mods wamekataa kuweka kitufe cha LIVE kuanzia tar 20-26 ila fresh.Daah haujawahi niangusha kwenye uzi wetu huu
Watupe jamani hali tete[emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]Tuvumilie kidogo kwa sababu ya increment na promotion
Wana zoom kwa mbali ndio wengi, mkishashangilia tu humu, nasisi tunashangilia kimya kimya tuWatupe jamani hali tete[emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]
Kuna watu hapa wanapita kama hawapo wanachungulia wakiona msg za kupongezana nao mbioo
Umeona eehh ..kweliWana zoom kwa mbali ndio wengi, mkishashangilia tu humu, nasisi tunashangilia kimya kimya tu
Mkuu kwani Hujapandishwa Daraja??Ongezeko kivipi?
Kwa Daraja F Huwa inaongezeka ngapi vile net isiyo na makato!!?Mkuu kwani Hujapandishwa Daraja??
Ukipandishwa Daraja Lazima Utaongezwa Mshahara
Hizi ni habari njema nafikiri na wengine mambo yatakuwa mazuri muda si mrefu.Nasikia watu wa afya tayari wamelamba mzigo.
Daraja F Kwa Kada gani mkuu Scale ipi??Kwa Daraja F Huwa inaongezeka ngapi vile net isiyo na makato!!?
Nimeelewa sasa.Mkuu kwani Hujapandishwa Daraja??
Ukipandishwa Daraja Lazima Utaongezwa Mshahara
Yeah, kama mpira tu mechi ikiisha haina haja kuendelea kuchat.Kama kawaida tarehe hizi huu ndo uzi pendwa baada ya siku tatu tu kimnyaaaa manina mshahara nyoko 😀😀😅
Cheo ata mimi nasubiria mama.Nimeelewa sasa.
Mkuu mimi post yangu haina kupanda madaraja. Japo naweza panda cheo.....
Mkuu Cheo na Daraja unajua maana Yake??Nimeelewa sasa.
Mkuu mimi post yangu haina kupanda madaraja. Japo naweza panda cheo.....
Mkuu sipo hapo kwenye uteuzi. Cheo changu ni cha muundo kama ulivyosema na hupanda tu ukiongeza elimu na si kupita kwa muda...Mkuu Cheo na Daraja unajua maana Yake??
Kuna Cheo cha Muundo na cheo cha Madaraka..
Cheo Kisichopanda ni Cheo cha Madaraka kama Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi, Mganga Mkuu,Mkuu wa Mkoa, Ras, Das ila wengine wote WanaVyeo vya Muundo ambavyo Vimepatikana kwa Elimu Yao hivyo Hubadilika kila baada ya Muda fulani..na Cheo.kikibadilika Basi daraja hubadilika pia ..
Unless uniambia Wewe ni Mteuzi wa Rais au Upo kwenye Nafasi nilizotaja