Mi nimepunguza sauti ya TV, yaan kutoka labda nyumba iwake moto.09:09
bila bila aisee nitafia humu ndani mangi anavyodai sasa
Hongereni sana nyie wenzetu mna pendelewa sana, wengine mishahara hadi anayehusika apetiwe vizuri na mke wake 😁Kabisa kabisa hujakosea
Mangi haelewi😀😀09:09
bila bila aisee nitafia humu ndani mangi anavyodai sasa
Hongereni sana nyie wenzetu mna pendelewa sana, wengine mishahara hadi anayehusika apetiwe vizuri na mke wake 😁
[/QUOTE
😂😂😂😂😂Hatujalipwa
kmmke😁Mi nimepunguza sauti ya TV, yaan kutoka labda nyumba iwake moto.
Life kama moviekmmke😁
Ni balaa,shida sijui inakuaga ni nini?mshahara wa mtu unakua kama msaada09:09
bila bila aisee nitafia humu ndani mangi anavyodai sasa
Dah, yani we jamaa unafurahisha sana, unaugua mshahara ukichelewa!!Umeenda? Mi nimetuma msg kwamba am sick.
Hahaha tatizo wanafanya kama wanatusaidia wakati jasho letu.Dah, yani we jamaa unafurahisha sana, unaugua mshahara ukichelewa!!
Leo ikivuka, mnapoteza mwanachama mmoja kwa muda. Nauza hii simu aisee.Ni balaa,shida sijui inakuaga ni nini?mshahara wa mtu unakua kama msaada
anakuzuga, yuko road anabadili gia tu, tena wese la bure, anapga tu nyoka 😁Dah, yani we jamaa unafurahisha sana, unaugua mshahara ukichelewa!!
Utakuwa mwenyeji WA mbeya au songwe.Tuna lakusema basi tumewaambia familia wamwage maharage yote,tunakuja na kitoweo.Hapa ni kupitia figiri ,chainizi na kuchanganya na mchicha tu siku iishe.
ila umeme unao.sio kes na gesi inakaribiq kukata moto. na tabia mbovu ya gesi kuisha usku usku tena ukiwa umeinjika safuriaLife kama movie
Nipo Iringa Town mkuu.Nimekupa 78%Utakuwa mwenyeji WA mbeya au songwe.
Naona yuko active sana kwenye huu uzi, nikafikiri ni kweli anapitia hayo.anakuzuga, yuko road anabadili gia tu, tena wese la bure, anapga tu nyoka 😁
Utambulisho ni figiri na maharage mkuu.Nipo Iringa Town mkuu.Nimekupa 78%
Siku hizi GPSA kuiba wese kazi sana. Yaani, imagine unauza lita 1 kwa buku jero. Faida kiduchu.anakuzuga, yuko road anabadili gia tu, tena wese la bure, anapga tu nyoka 😁