Kesho au Ijumaa hii uhakikaSarary agst tayari!
Salary mwezi huu hadi 25 augustKesho au Ijumaa hii uhakika
Mbali sana mkuu, inabidi tar 22 akaunti zijaeSalary mwezi huu hadi 25 august
Hivi payroll huandaliwa hazina au ni kwenye taasisi husika kisha hupelekwa hazina na tena kurudishwa kwenye taasisi iliyoandaa hiyo payroll ?Payroll zimesainiwa jana ...hii ni kukaa Kwa kutulia tuliiiiiiiiii...... Hakuna nyongeza Mzee ..ila Kuna watu wamepenya kwenye madaraja wamepandishwa......
kmmke π€£Naomba nichukue nafasi hii kuwakaribisha kiringeni official
Hakuna jinsi kiongozi. Hivi hivi hadi tunastaafu.kmmke π€£
Yeah nipo nacheki SalioHuu uzi ni Alpha na Omega
Usiseme ivo aiseeπππππππππ ila watumishi mnanifurahisha sana yani tarehe ishirini tu uzi hewani yani hapa kitu mpaka jumatatu ijayo
Wikendi itakuwa nzuri kabisa, haivuki ijumaaπππππππππ ila watumishi mnanifurahisha sana yani tarehe ishirini tu uzi hewani yani hapa kitu mpaka jumatatu ijayo
Hata sisi wafanyabiashara itakua nzuri,maana mtakuja lipa madeni yenu hasa ya pombeWikendi itakuwa nzuri kabisa, haivuki ijumaa
Kuna wasiokunywa pia wataenda kulipa madeni ya vyakula na mambo mengine. Na kuna wasiodaiwa pia.Hata sisi wafanyabiashara itakua nzuri,maana mtakuja lipa madeni yenu hasa ya pombe
Baba yangu , kuanzia tar 15 huwa wanaandika tuKuna wasiokunywa pia wataenda kulipa madeni ya vyakula na mambo mengine. Na kuna wasiodaiwa pia.