Mkuu, relax na haya maisha ya hapa duniani, wacha kujipa taabu bila ya umuhimu wowote. Unaishia kuporomoshewa matusiScale gani acha kutisha watu na mikwara yako hujui ulisemale watumishi wapo laki 5 Tanzania nzima ila wenye mshahara unaovuka million moja hawavuki hata laki moja waliobaki wote wanatembelea rim usidanganye watu hapa.