Hakuna mshahara unaoingia kwa mtu mmoja
Sawa kiongoziHakuna mshahara unaoingia kwa mtu mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mshahara unaoingia kwa mtu mmoja
Sawa kiongoziHakuna mshahara unaoingia kwa mtu mmoja
Wajedapole chief, ila wapo ambao tayar
Naona walimu mnateteana mmeitana kabisa mnadhani mmepata mtu wakumtolea stress zenu angalia nani kaanza ku mqoute mwenzake mi nimetoa mawazo yangu kama nyinyi mnavyotoa shida ya walimu mnadhan kila mtu ni mwanafunzi.Jamaa hajakutukana. Kakijibu vizuri. Kakwambia kwani server ni za mama yako? We ndiyo ulianza kwa kuita tunaoulizia mshahara wajinga/ujinga na nonsense.
We hata uelewi unachoongoa huu uzi ni wa mda mrefu walimu wameufukua kwasababu mshahara umechelewa na ndio mwanzo wa hoja yangu huu uzi sio mpya ni wa mda mrefu ndio maana nimesema kuna ulazima kila mshahara ukichelewa kuja kutia huruma humu kama mayatima yaani leo itaneni walimu wote mje ila acheni ushamba swala la mshahara ni swala binafsi na kama ni swala la kila mtu basi muweke na attachment za salary slip zenu hapa tuone mnavyobaki na laki mbili baada ya Makato kama hamuwezi ku attach salary slip uzi ufungwe.Kila uzi sio lazima usome. Jukwaa huru ili acha stress, nenda jukwaa la ajira na tenda subiri interview za polis.
Mimi tena nna makasiriko na watu wanaolia lia mshahara kuchelewa siku mbili jiangalie vizuri kabla ya kukoment wekeni salary slip zenu hapa kama kweli kila kitu ni cha kukipandisha mitandaoni .Acha makasiriko kwenye maisha binafsi ya watu wengine. Humu kuna wengi tunasoma na kutania, na wapo walio serious, ila pia kuna wapenzi watazamaji kibao tu. Kuna mambo wala yasikupe shida kabisa
Sana.lakin tunafanya kazi ni halali yetu mkuu au tunakosea?
Inabidi uanzishe uzi wa namna ya kuzitumiaOiii mzigo ndanii
Hahaha kikubwa hawaibii Taifa wacha wale maisha..Inabidi uanzishe uzi wa namna ya kuzitumia
Mi bado hola! CrdbTuonane tena 20 August... Twende jukwaa la Kimasihara sasa.
Daah hii imenitokea pia, Kuna madaraja na kubadilishiwa muumdo wa ajira kwa maana ya kuongeza elimu. Kuna mtumishi mwenzangu kabadilishiwa muundo na mshahara mwezi huu lakini Kwangu kimya asee. InaumizaMsoto ni ule ule bado wengine madaraja hawajapandishwa
duuhDaah hii imenitokea pia, Kuna madaraja na kubadilishiwa muumdo wa ajira kwa maana ya kuongeza elimu. Kuna mtumishi mwenzangu kabadilishiwa muundo na mshahara mwezi huu lakini Kwangu kimya asee. Inaumiza
pwilo mkuu ,sijaona umuhimu wowote wa kuwashambulia watu kisa reaction zao juu ya comment Yako ya awali kabsaa ambayo hata Mimi niliisoma hapa.Naona walimu mnateteana mmeitana kabisa mnadhani mmepata mtu wakumtolea stress zenu angalia nani kaanza ku mqoute mwenzake mi nimetoa mawazo yangu kama nyinyi mnavyotoa shida ya walimu mnadhan kila mtu ni mwanafunzi.
Tuombe uzimaTukutane tena 21 mwezi ujao Mungu akipenda.
Kwani ualimu Sio kaziWe hata uelewi unachoongoa huu uzi ni wa mda mrefu walimu wameufukua kwasababu mshahara umechelewa na ndio mwanzo wa hoja yangu huu uzi sio mpya ni wa mda mrefu ndio maana nimesema kuna ulazima kila mshahara ukichelewa kuja kutia huruma humu kama mayatima yaani leo itaneni walimu wote mje ila acheni ushamba swala la mshahara ni swala binafsi na kama ni swala la kila mtu basi muweke na attachment za salary slip zenu hapa tuone mnavyobaki na laki mbili baada ya Makato kama hamuwezi ku attach salary slip uzi ufungwe.