Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Mkuu mkopo wa Miaka 9 ? Mil 30 aisee utawafanyia kazi bank miaka 9+ hapo makato almost 550 kwa mweziKwa nini asichukue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mkopo wa Miaka 9 ? Mil 30 aisee utawafanyia kazi bank miaka 9+ hapo makato almost 550 kwa mweziKwa nini asichukue
Maisha safi hauulizii mshahara eeHahahaaa. Lol
Mi mzigo haujaingia. Ukiingia kesho naenda. Sahivi nimejikausha ndani.
Nenda kafanye hesabu utaona maajabu.Mmmh sidhani mkuu umeongea kinadharia sana
Riba si ni zile zike around 12 mapak 15%per annum
Hua ni hivyo ila mwezi huu ni tofautinegative, hakuna ukweli juu ya usemalo salary slip hutolewa baada ya dispatched salary notice ya hazina ambayo mpaka mda huu haijatoka, yeye hiyo slip kaipata vipi ESS ? Ambayo ni extension data bridge tu wala haina mandate ya financial database ya hazina, mpaka itumwe toka hazina.
Tusamehe nkuuHuu upuuzi wa kuulizana mishahara humu jf kama umetoka au haujatoka ni sheria za wapi za utumishi mshahara kuchelewa siku mbili tayari mshajaza server humu na wengine wana miaka 10 kwenye ajira ila bado wanategemea mshahara nonsense kabisa.
Watumishi wengi wale ambao hawajapitia ajira portal hawajielewi walipangiwa kazi kama wana wanapangiwa shule advance ndio hao wanatapeliwa kwenye kujaza PEPMIS hivi marekani wanafanya huu ujinga pia.Tusamehe nkuu
Tumekosa
Tumekosa sisi
Yaaah Simu Huwa haikubali kupakua salary slip via ESS,, but mpaka Sasa hivi wengi wao washapata mishahara..wakuu mshahara bado ila unaweza kuona salary slip kupitia mfumo wa ESS muda huu. Nadhani hazina wameshaachia pesa katika mabenki ni wao kufanya process ili mshahara uingie kwa kila mmoja. Mi nimeona na nimeona daraja nimepanda bila annual increment. So km unataka kujua nini ni nini ingieni muone salary slip kwa kutumia kishkwambi au computer sim kwangu naona imegoma sijui simu za wengine jaribuni.
Mama anaupiga mwingi
Sisi taasisi yetu kabla ya kuingia kazini tulikuwa na seminar kubwa bila kusahau TULITHIBITISHA/TULIAPAKuna vertical, lateral and horizontal... Yaani unahama Kwa kimuundo, kitaasisi ama kicheo(simamizi) ..unaongelea nini.... Nipo kazini mwaka wa 16 huu.... Na ninasimamia wengi tu... Sisi ndio tulikuwa ajira ya mwisho kula KIAPO ... SIKU HIZI WANAPANGIWA TU KAZI ... WANAAPA WAPI!!? .. SISI TULIKULA KIAPO...
Server inajaeje na ikijaa ina madhara gani? Ni lini hapa jf server iliwahi kujaa? Hata server ikijaa kwani ni ya mama yako kwamba utapa hasara? Punguza shobo Uzi haukuhusu kmmamae zako..Huu upuuzi wa kuulizana mishahara humu jf kama umetoka au haujatoka ni sheria za wapi za utumishi mshahara kuchelewa siku mbili tayari mshajaza server humu na wengine wana miaka 10 kwenye ajira ila bado wanategemea mshahara nonsense kabisa.
😂😂😂 lol.Maisha safi hauulizii mshahara ee
usitupangieee wapi tudai helaa zetuuu..!!Huu upuuzi wa kuulizana mishahara humu jf kama umetoka au haujatoka ni sheria za wapi za utumishi mshahara kuchelewa siku mbili tayari mshajaza server humu na wengine wana miaka 10 kwenye ajira ila bado wanategemea mshahara nonsense kabisa.
Na wewe una check number?😂😂😂 lol.
Jaribu ya mwisho rafiki. 🤣🤣🤸♀️🤸♀️Huku mpaka mida fulani ya saa 4 asubuhi ilikua bado rafikiiiiiii sijaangalia tena . Nilinunua vocha ya jero ya kuangalizia salio simbanking naona imebaki 200 siangalii tena hata mniue rafiki mpaka mnihakikishie maishaaaa😂😂😂😁!
Cc Smart911
Shida watumishi wengi hamuendi kwenye mafunzo madhara yake ndio hayo sasa mnaropoka hata yasiyofaa kuongeleka mbele ya jamii kufanya mapenzi na mke wako ni halali kwa dini zote ila huwezi kufanya hadharani watu wakiwa wanaona hivyo busara ni muhimu kijana.usitupangieee wapi tudai helaa zetuuu..!!